Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Kwa hili povu sijui kama huuzi kweli maana duu
 
Mnapenda vizur ila hamtaki kutoa vizur mpate vizur.
Unachati naye umpotezee muda wake halafu ukiombwa buku tu unakimbia, kama una hamu sana ya kuchati na wanawake si uchati na dada zako au shangazi zako ili usiombwe hela?
Haaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Imepenya hiyooo[emoji382] [emoji382] [emoji382] [emoji382]
 
Acha ukorofi mahondaw wangu... kaone kwanza kalivyo kazuri...


Sio ukorofi smart sasa ndonini mwanamke unamsaidia tuuuuu mavitu ya bei bei hata humuombi wala kuonesha interest??? Yani hata mshipa haushtuki lol vibaya hivooo afu mtu mwenyewe unazungukwa na warembooo wa kila aina si kunyanyasana kisaikolojia jamani!!!!!!!????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…