RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Mimi utanipa bure tu mtauzia ng'ombe wamejaa kibao.Inategemea jinsi ulivyokuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi utanipa bure tu mtauzia ng'ombe wamejaa kibao.Inategemea jinsi ulivyokuja.
Witty na wewe natambua una utamu uliopitiliza...Usiniulize nimejuajeIla we jamaa[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shikamoo
Huyo jamaaa swaga zake nomazz[emoji28] [emoji28] [emoji23]Ha haaa toka huko
Utamu wa pipi mate yakoUkiwa mtamu unajijua tu..Kwa uliowatunuku hawajawahi kukuambia?
Vipi na wewe unataka hela?Duuu ...😳😱
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi utanipa bure tu mtauzia ng'ombe wamejaa kibao.
Sio ukorofi smart sasa ndonini mwanamke unamsaidia tuuuuu mavitu ya bei bei hata humuombi wala kuonesha interest??? Yani hata mshipa haushtuki lol vibaya hivooo afu mtu mwenyewe unazungukwa na warembooo wa kila aina si kunyanyasana kisaikolojia jamani!!!!!!!????
Ndio maana huwa mnakuja na thread humu maanake mnatengeneza very high expectations!Inawezekna uko sahihi na experience ulonayo.
[emoji15] [emoji28] kumbe mlikutana humu?... Then life likahamia kitaa?Hahahahaha.... Smart911 tumetoka mbali sana huyu mwanaume tuna visa visa tumepitia acha kabisa...
tulianza kwa kugombana humu balaa sitasahau ule uzi... mwanzoni mwanzoni nisharudisha miamala yake miwili huwezi amini... he was doing that Ile kunisaidia toka moyoni mimi nahisi anataka kitu huyu how comes a stranger anisaidie hivi?? Nawaza Si atanila mpaka nywele za kichwani huyu???? God bless you Smart911
Basi mimi kabla sijaila pipi nimeshajua utamu wake..Sasa na nnavyokujua ukinitunuku ndo ntachanganyikiwa kama katoto kazuriUtamu wa pipi mate yako
Dunia na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA [emoji23][emoji23]Hahahaha ,ushawahi kuombwa hela kwa lzm? yaani MTU analazimisha km alikukopesha, asee tuyaache tu
Mimi utatoa bila kuombwa.Vipi na wewe unataka hela?
Real?...hicho nachokiona?Hahahaha acha ukachero basi...
Angalia ID na Avatar utapata jibu[emoji23]
Unanifananisha.Mimi utatoa bila kuombwa.
Duuh! Hivyo Mtani huyo naye utamuwekea akauntini eeee?Hahahaha, mtani,mpango wa kando kwa sasa sina ,najaribu kumsoma MTU nione km atafaa ,km ana sifa stahiki ,hahahaha
Kumbe we ndo umesababisha katoto kazuri achanganyikiwe? Vibaya hivyoBasi mimi kabla sijaila pipi nimeshajua utamu wake..Sasa na nnavyokujua ukinitunuku ndo ntachanganyikiwa kama katoto kazuri
Kwahiyo ukajikuta umekuwa mbea ili uje na cha kuhadithia humu?[emoji23] [emoji23] [emoji23]unajua ukiwa jf hata kama sio mbea amini utakuwa mbea maana utataka upate cha kuleta humu so ukipata mmpenyo lazima habari ipatikane
Mim mkuu sitowahi kumfungulia mtu thread.Ndio maana huwa mnakuja na thread humu maanake mnatengeneza very high expectations!
Kwamba wewe mgumu sana?Unanifananisha.
Hapo unanisingizia, sio mimi...Mimi wewe ndo unanichanganyaKumbe we ndo umesababisha katoto kazuri achanganyikiwe? Vibaya hivyo