Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Sio ukorofi smart sasa ndonini mwanamke unamsaidia tuuuuu mavitu ya bei bei hata humuombi wala kuonesha interest??? Yani hata mshipa haushtuki lol vibaya hivooo afu mtu mwenyewe unazungukwa na warembooo wa kila aina si kunyanyasana kisaikolojia jamani!!!!!!!????

Hahaha... na ulivyo na wivu sasa... daah
 
Hahahahaha.... Smart911 tumetoka mbali sana huyu mwanaume tuna visa visa tumepitia acha kabisa...

tulianza kwa kugombana humu balaa sitasahau ule uzi... mwanzoni mwanzoni nisharudisha miamala yake miwili huwezi amini... he was doing that Ile kunisaidia toka moyoni mimi nahisi anataka kitu huyu how comes a stranger anisaidie hivi?? Nawaza Si atanila mpaka nywele za kichwani huyu???? God bless you Smart911
[emoji15] [emoji28] kumbe mlikutana humu?... Then life likahamia kitaa?

Hongera shoo
 
unajua ukiwa jf hata kama sio mbea amini utakuwa mbea maana utataka upate cha kuleta humu so ukipata mmpenyo lazima habari ipatikane
Kwahiyo ukajikuta umekuwa mbea ili uje na cha kuhadithia humu?[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ndo maana kumbe wanasema baadhi ya wanaume wa jf ni wambea[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]

Haahaaa..
 
Back
Top Bottom