Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Ila bora wanaoomba hela za maana hata mara moja kwa mwezi, kuliko wanaoomba tuhela twa vocha kwa wiki mara 2.
Sio siri inakera sana. Na huwa unawashushia thamani sana.
Mmezid ubahili wanaume acha muombwe tu hakuna namna
Hahahaaa. Ila kama mie huwa namuwekaga upande wa ile Id yake basi najikuta najijibu mwenyewe tu kwamba hajamature bado hivyo utoto nao sometimes huwa ni tatizo.bora hata uone me ananipaga maswali sana
Aisee juzi kuna mmoja akaniambia anaenda saloon anaomba nimuongezee hela yaani hapo hata dakika 10 hazikuwa zimefikaUnakuta umekutana na mdada mtanashati mkabadikishana namba za simu, wengine hata siku haijaisha mmeanza kuchati kidogo tu utasikia
#Baby mambo, naomba nitumie vocha ya buku jelo
#Baby nitumie buku tatu na mia nane nikanywe supu. Usingekutana na huyo mwanaume ungekunywa nini?
#Mwingine utamskia, baby nywele zangu zinaniwasha hatari,nitumie 30K niende saluni.
Jamani tunajua hali ni ngumu lakini mnavyojirahisisha sana ndo watu wanawa konki konki halafu mnakuja kulalama baadae.
Sasa umtongoze mwanachuo ndo hatari zaidi, bill zote zinahamia kwako, usipojielewa utajikuta unalipa ada ya chuo na kumgharamia kila kitu.
Wanaume wanapenda wanawake wasiopenda kuombaomba. Kuna wanaume wakishanza kupata bill zisizoeleweka ndo wanapata sababu ya kuwakimbia. Na wengine watawavumilia ila wakishakula papuchi hamuwaoni tena.
Tunaelewa njaa ni kali ila nendeni kwa step la sivyo nyeti zenu zitaumia sana.
Sipendi mahesabu ya namna hii ni ubahir sanaSasa ulitaka upewe 100,000 wakati nauli ni 1,800/-?
Hahahaaaaa. Lol.Ni pm kabisa namba yake nimeipotoza
Mie mwanzoni alinipa shida ila baadae nikajikuta namuelewa.Hahaha sjawah kumwelewa katoto
[emoji4]nasubiriaHahahaaaaa. Lol.
😂😂😂😂Hahahahh mambo ya humu dada akee acha tu yanafurahisha eti unaombwa elf 3400
Hahahaaa. Pole sana Mpwa.Aisee juzi kuna mmoja akaniambia anaenda saloon anaomba nimuongezee hela yaani hapo hata dakika 10 hazikuwa zimefika
Hela tu kuna wengine wanakuomba hela na bado geto anakuja kupika na bado anakula mkilalana anakupa mambo mmpaka unakimbia umuiti tena.
Binamu mtu kama huyu anahitaji kusaidiwa maana inaonesha ana matatizo lakini hapaswi kuombwa chochote maana hapo ataota kitambi kabisaHahahaaa. Pole sana Mpwa.
Si ulimpa lakini? [emoji12]
Mie sijambo Alhamdulillah.
Nakuona Mtani a.k.a Mzeee wa Kimya kimya. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe unajielewa sanaHahaaaa. Hapana siombi huwa napewa tu.
Hahaaaa. We ni balaa Binamu.Binamu mtu kama huyu anahitaji kusaidiwa maana inaonesha ana matatizo lakini hapaswi kuombwa chochote maana hapo ataota kitambi kabisa