Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Nyie mbona mnaobva omba na hatuwawekei mabango? Mkiacha kuomba omba nasi tutaacha ila kwa sasa tuendelee tu kuombana.

Tena umenikumbusha ngoja nikaombe hela.
 
Lile ambalo ngozi muda wote imepauka ... Mr perfect?
Ewaaaaaaa[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] ....linafikiri naliogopa nalo kumbe ni ile sitaki uchuro wala mazoea that's y huwa hata kichwa changu hakikumbuki lolote kulihusu[emoji23] [emoji23]

Sasa too much...naona nnye yake inawashaa[emoji57] [emoji57]
 
Kama hilo siji na achana nalo kavurugwa yule msamehe. Hana tofauti na Huyo aliye kuatack
 
Hee taratibu mama...

kwani kipi kinaendelea hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…