[emoji120] [emoji120] [emoji12] [emoji12]
Hivi kuna uhusiano wowote kati ya "Kutokuwa na pesa" na "Kutokutoa pesa" ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120] [emoji120] [emoji12] [emoji12]
Haahaaasss Gasho yupi Huyo wa kinondoni?Co-worker hebu achana na huyo.....naandaa Uzi wa teja na gasho la kinondoni hapa...
Njoo tuupitie kabla sijausubmit maana we ni engine yangu[emoji12]
Kuja please fasta....nataka kumshusha mtu kende hapa mamaaae[emoji12] [emoji126]
Jason Statham2
No relationship[emoji23] [emoji23] ...why unauliza?Hivi kuna uhusiano wowote kati ya "Kutokuwa na pesa" na "Kutokutoa pesa" ?
We hulijui lile nilikupa mkanda ake tejaa?Haahaaasss Gasho yupi Huyo wa kinondoni?
No relationship[emoji23] [emoji23] ...why unauliza?
PowazzzzNimeuliza sababu huwa napenda kujua ukweli kama ulivyo.Umejibu vizuri sana. Una elewa pia.
Narudi .....
Lile ambalo ngozi muda wote imepauka ... Mr perfect?We hulijui lile nilikupa mkanda ake tejaa?
Bwana linajishauaga humu[emoji23] [emoji23] ...umesahau?
Njoo PM or call me
Haahaaa
Ewaaaaaaa[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] ....linafikiri naliogopa nalo kumbe ni ile sitaki uchuro wala mazoea that's y huwa hata kichwa changu hakikumbuki lolote kulihusu[emoji23] [emoji23]Lile ambalo ngozi muda wote imepauka ... Mr perfect?
Omba wa kitaa sio wa humu[emoji23] [emoji23]Nyie mbona mnaobva omba na hatuwawekei mabango? Mkiacha kuomba omba nasi tutaacha ila kwa sasa tuendelee tu kuombana.
Tena umenikumbusha ngoja nikaombe hela.
Ila hana utani mbaya ...anajua kucheza na akili za audience[emoji23] [emoji23]Anaendeleza masihara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hilo siji na achana nalo kavurugwa yule msamehe. Hana tofauti na Huyo aliye kuatackEwaaaaaaa[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] ....linafikiri naliogopa nalo kumbe ni ile sitaki uchuro wala mazoea that's y huwa hata kichwa changu hakikumbuki lolote kulihusu[emoji23] [emoji23]
Sasa too much...naona nnye yake inawashaa[emoji57] [emoji57]
😀😀😀Nyie mbona mnaobva omba na hatuwawekei mabango? Mkiacha kuomba omba nasi tutaacha ila kwa sasa tuendelee tu kuombana.
Tena umenikumbusha ngoja nikaombe hela.
Ulivyosema wanaomba JERO,mungu nisamehe,mwanaume wa kukuomba jero ni wa kumhurumia tu nakumpa wala usiuite mzinga na mungu atakubaliki na kukuongezea.simanishi kila siku utoe.Unao waongelea ni kama wale wanaokaa stand na mimi sijaongelea hao
Mbona huyu ameombwa buku 3 na mia 4 amekuja kutangaza humu kua ni mzinga.Ulivyosema wanaomba JERO,mungu nisamehe,mwanaume wa kukuomba jero ni wa kumhurumia tu nakumpa wala usiuite mzinga na mungu atakubaliki na kukuongezea.simanishi kila siku utoe.
Hujatoka bado [emoji23] [emoji23] ...Hahaaa. Mie mwenyewe kwa leo jf imetosha aisee Mtani.
[emoji113][emoji113] Bye.
Kwa kweli. Na unakimbia fastaIla ana utani mzuri[emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] nimecheka balaaa!
Uzi wake kautendea haki
Hee taratibu mama...Tujiuze wapi kwanani mnadhani kila mtu anawaza kuliwa na malala haoi kanyie kunawadada kama sisi tunajituma nakila tulichonacho wanaume hawawezi kutununua hata waje na nini so usituweke pamoja nahao mnao wapa elfu kumi halafu mnajiona nikwakila mdada .
Dhamani yangu ndio maisha yangu.
Umenielewa naukome nahao magroup ya wenzio kunichanganya na vimada vyenu .
Mmenielewa maisha ni mwangu sijawahi uza k yangu kwamaana nasubiria mwanaume aje anioe kistaarabu so kama humu ndani kuna list ya wapumbavu wanaona wanawake ni wakujiuza kisa vihela vya mikopo mtukome na vinguo vya misaada na vigari vya mikopo na uchokaji wa maisha wenu.
Msituletee sisi .
Kazoeni hadhi zenu.