Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mtoaji mpaka madada wa hapa mtaani wanajishtukiaEeh wewe sio mtoaji
Yes ipo hivyo...Mambo ya exchange trade hayo..Nipe nikupe au sio
Sijui ana shida gani yaani...kiukweli namuonea huruma![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu naona wanasema kila siku anaaga. Kumbe ni muagaji maarufu na haondoki
Sasa si ndio utoe na jf hadi na huku tujishtukieMimi ni mtoaji mpaka madada wa hapa mtaani wanajishtukia
Sijui ni mieee? Maana naona umeandika bila kumquote mtu. 😂😂😂Dada angu nimekumiss
Hahaahaa...Mie wananikera wanavyojifanya kuwa wao ndio wenye hela, wao ndio wanaojua kutafuta hela, wao ndio wanaoombwa hela...
Wengine hata hela hawana wamening'iniza ma.ke.nde tu. mxeweuuuu. (si kwa povu hili)
Vibaya hivyo hutaenda mbiguni shauri lakoJichukue kavideo kafupi ukitembea alafu ukaposti hapa
Kabla siku haijaisha uulete mrejeshoMrejesho mpk muda huu bilabila
Attention seeker
😀wanapenda kulialia sanaaUnanifurahishaga na comments zako
Mwanaume kumpa hela mdada mzuri inapendeza na kuepusha magonjwa ya moyoHahahaaa. Wachaaaaa.
Ila hamueleweki wengine wanalalamika, wengine wanatoa basi tafran
Ewaaa....kama ulikuwa kwenye akili yangu, mi huwa simuelewi hata hicho alichoniquote sijamuelewa!... Ndo maana nikakwambia ktk lile swali lako kwake umuulize umri na elimu yake then utapata jibu ( kama hatakudanganya)[emoji23][emoji23]
Ungemjibu angeshusha barua ndefu..tatizo anavyoandika kuelewa ni shida sana
Kwa kweli
Kanahitaji msaada
Ni wewe Dada anguSijui ni mieee? Maana naona umeandika bila kumquote mtu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mie sijambo mdogo wangu. Uko mzima wewe?
Haaahaaaa....itakuwa kakosea sio yako ileMaana kanishangaza ujue. Kunipakazia kule ni kwa kiwango cha hali ya juu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao watakua wale wanaotafutwa na bashiteMnaomba omba hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ewaaa....kama ulikuwa kwenye akili yangu, mi huwa simuelewi hata hicho alichoniquote sijamuelewa!... Ndo maana nikakwambia ktk lile swali lako kwake umuulize umri na elimu yake then utapata jibu ( kama hatakudanganya)
Kabla siku haijaisha uulete mrejesho