Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

masimango hayo sasa
 
Mkuu hudhani huu uzi utafanya wazidi kujiskia vibaya?

Kuolewa ni suala lipo nje ya control yao (mara nyingi)

Ulichofanya hapa ni sawa na kumuuliza kiwete anajiskiaje 'kuona wenzie wanatembea kila kukicha'?

Nashauri ufutilie mbali huu uzi kandamizi
niliwahi muuliza kiwete akasema yeye kama yeye. amezoea kuwa hivyo but haoni mbaya ila wengine wanaona mabaya
 
Matokeo ya kuolewa ni mbaya sana, kwanza unageuzwa geuzwa na lijamaa usiku kucha linavo taka, mara uvimbe juu, mara utapike
shit
 
Matokeo ya kuolewa ni mbaya sana, kwanza unageuzwa geuzwa na lijamaa usiku kucha linavo taka, mara uvimbe juu, mara utapike
shit
weweeeee. hyo labda kabla ya ndoa. walio kwenye ndoa wanajua mziki wa kunyimwa hadi miezi. pia mnazoea. si ipo kila siku. muda unakuwa haupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…