Daughterrr
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 474
- 583
sio tatizo..ni kama sambusa hii ujuzi wako ndo utam wakoUlimuacha wakati kashakula uroda ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio tatizo..ni kama sambusa hii ujuzi wako ndo utam wakoUlimuacha wakati kashakula uroda ?
[emoji16][emoji16][emoji16]Hi Mr Greenlight
hahahaha. si unajua ya kidunia lazima upitie changamoto mbali mbali. experience ipo ya kutosha.Hahahaha mkuu mzoefu nn
eeh ulidhani mm kama ww..nn cha ajabu apo nilivoandika msenge au..mxeeew.Kwa maandishi haya hata mimi ningekwambia sitaki ndoa.
vipi tena? au sioni vizuri. hizi pombe hizi. pombe na simu ni vitu hatari. ukiamka asubuhi ushaharibu kila konaeeh ulidhani mm kama ww..nn cha ajabu apo nilivoandika msenge au..mxeeew.
umenichekesha..npo na watu apa..LOLvipi tena? au sioni vizuri. hizi pombe hizi. pombe na simu ni vitu hatari. ukiamka asubuhi ushaharibu kila kona
Under 20'sTukiolewa wote mtachepukia wapi
masimango hayo sasaDada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
hahahaha. si unajua ya kidunia lazima upitie changamoto mbali mbali. experience ipo ya kutosha.
Unamkejeli tenaYap, anasubiri yesu amuonyeshe
wanawake tuna kazi sana Mungu atusaidie
asnte kwa taarifa mtoa uzi
masimango hayo sasa
niliwahi muuliza kiwete akasema yeye kama yeye. amezoea kuwa hivyo but haoni mbaya ila wengine wanaona mabayaMkuu hudhani huu uzi utafanya wazidi kujiskia vibaya?
Kuolewa ni suala lipo nje ya control yao (mara nyingi)
Ulichofanya hapa ni sawa na kumuuliza kiwete anajiskiaje 'kuona wenzie wanatembea kila kukicha'?
Nashauri ufutilie mbali huu uzi kandamizi
weweeeee. hyo labda kabla ya ndoa. walio kwenye ndoa wanajua mziki wa kunyimwa hadi miezi. pia mnazoea. si ipo kila siku. muda unakuwa haupoMatokeo ya kuolewa ni mbaya sana, kwanza unageuzwa geuzwa na lijamaa usiku kucha linavo taka, mara uvimbe juu, mara utapike
shit
eeh ulidhani mm kama ww..nn cha ajabu apo nilivoandika msenge au..mxeeew.
Matokeo ya kuolewa ni mbaya sana, kwanza unageuzwa geuzwa na lijamaa usiku kucha linavo taka, mara uvimbe juu, mara utapike
shit
Tabia njemaNipe vigezo mzee baba....
ng'ombe hazeeki mainiTabia njema
Unayo ..
Mi siangalii chura , maana kuna siku itaisha