Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hahah afikie hata kwenye kona ya kitanda nimpe tenzi za rohoni kidogo...Tatizo wanakuwaga wabishi kung'oka utadhani.wamekalia super glue pale.
Hahahaha we sio mzima wallah unawaza kuchikwichi mda wote.
 
Hahahaha halafu kukata posa inakuwa kama laana nishawahi kushuhudia hiyo yaani kimavi unatembea nacho πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ilikuwa enzi hizo za usichana sasa hivi jamani atakayetokea kweli nitaamini kashushwa na yesu
 
Kugongwa atakuwa anataka ila nahisi anawaza na umri huu naanzaje kumvulia mtu nguo? Haya Mambo bwana yana umri wake, kitu 45 plus halafu huna mvuto wowote
Apo mwisho case closed πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekusoma vema sameeyah.
 
Kugongwa atakuwa anataka ila nahisi anawaza na umri huu naanzaje kumvulia mtu nguo? Haya Mambo bwana yana umri wake, kitu 45 plus halafu huna mvuto wowote
We huyo unafikili hagongwi labla iwe toka azaliwe hajaonja ule utamu huko huko kanisani.
 
Hahahaha we sio mzima wallah unawaza kuchikwichi mda wote.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ af wala sema ni leo tu niko kwa mood hio. ila gheto lieshimike jamani, sio sehemu ya ibada pale. Ukija unajiongeza tu purukushani zisiwe nyingi
 
Kwa makubaliano yao sio mie niwaunganishe [emoji3][emoji3], mhenga hujambo lakini?
Sijambo mhenga, umenitenga sana na hunipendi tena[emoji39][emoji39][emoji23]
 
Hizo budget hazina ulazima wowote mkuu.
 
Mtasema yote,ndoa ni agizo la Mungu sio hiari ni ibada.

Kama ilivyo siku ya kuzaliwa na kufa ndivyo kwa ndoa!

Hamuoni bwana au bibi kukataa siku ya ndoa au kufariki sekunde kabla ya ndoa.

Ni muhimu ila haifosiwi
 
Matokeo ya kuolewa ni mbaya sana, kwanza unageuzwa geuzwa na lijamaa usiku kucha linavo taka, mara uvimbe juu, mara utapike
shit
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kengemaji ww, ndio ndoa hio sharti ulale uchi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…