Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeguswa tangu Nina miaka 14 Sasa hivi nina 42Were imeguswa au bado
Halafu wachangiaji wanaokosoa wanawake humu oooh wanatamaa ya pesa cha ajabu nina uhakika hakuna aliyeoa.ndoa si matako kama kila mtu anayo na wala sio lelemama na hasa ndoa za vijana wa kileo. Waliomo ndani ya ndoa wanataka kutoka sasa nyie wenye viherehere mnaotaka kuingia kwa tashwishwi za watu wengine ambao mpo humo shauri zenu, mtahesabiwa vyuo kila siku , ndoa zamani bhana sio sasa
Ooh kumbe bado utakua mtamu mtamuNimeguswa tangu Nina miaka 14 Sasa hivi nina 42
Swala la kumuuliza halikuhusu. Linalokuhusu wewe ni kukubali au kukataa ombi langu spesheliMuulize kwanza,atoe ruhusa 😁😉..
Am hot as fuc.kOoh kumbe bado utakua mtamu mtamu
Punguza uongo japo kidogo basi mpenziNimeguswa tangu Nina miaka 14 Sasa hivi nina 42
pm yako iko wazi au imefungwaAm hot as fuc.k
Mi hata sijuipm yako iko wazi au imefungwa
Nakuja kukusalimiaMi hata sijui
Uongo upi BabuPunguza uongo japo kidogo basi mpenzi
KaribuNakuja kukusalimia
Utaolewa wwe changamkia fulsaHebu kwanza utuambie, tukishakwambia tunavyojisikia utachukua hatua gani?
Miaka 14 ulikuwa la 7, right?? Ukaguswa?? MmmhhhUongo upi Babu
Miaka 14 nilikuwa form one, Mimi muhenga bwana usinione mtoto 😀Miaka 14 ulikuwa la 7, right?? Ukaguswa?? Mmmhhh
Hivi sasa una miaka 42?.... unaijua 42 vizuri?? Yaani umezaliwa na CCM??
Haya mama
Kwasababu hawataki au hawana sifa za kuwowa?Halafu wachangiaji wanaokosoa wanawake humu oooh wanatamaa ya pesa cha ajabu nina uhakika hakuna aliyeoa.
enzi zile za kipindi kile utu na ubinaadamu umetamalakiZamani ipi?
Humo humo.... sasa form one uliguswa na nini... labda sijaelewa maana ya kuguswa. Nyie vijana mna maneno yenu wazee hatuyaweziMiaka 14 nilikuwa form one
Yote yanawezekana hawataki au hawana sifa za kuwa katika ndoa.Kwasababu hawataki au hawana sifa za kuwowa?
Bibi yangu aliachana na babu yangu miaka hiyo, ndugu na jamaa walionizunguka ambao wamenizidi sana umri ndoa zao zipo juu ya mawe na wengine walishamwagana kitambo,ndugu na marafiki wa rika langu nao sioni tofauti..zipo zinazovunjika, za ambao ni wadogo kwangu the same thing.enzi zile za kipindi kile utu na ubinaadamu umetamalaki