Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
umri gani huo?wanazengo wanasema kuna umri mwanamke akifikisha hata uki cheat anakusamehe. ili udumbukie ndoani. ndipo cheche unakutana nazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umri gani huo?wanazengo wanasema kuna umri mwanamke akifikisha hata uki cheat anakusamehe. ili udumbukie ndoani. ndipo cheche unakutana nazo
Hahahaha we sio mzima wallah unawaza kuchikwichi mda wote.😂😂😂😂😂 hahah afikie hata kwenye kona ya kitanda nimpe tenzi za rohoni kidogo...Tatizo wanakuwaga wabishi kung'oka utadhani.wamekalia super glue pale.
Ilikuwa enzi hizo za usichana sasa hivi jamani atakayetokea kweli nitaamini kashushwa na yesuHahahaha halafu kukata posa inakuwa kama laana nishawahi kushuhudia hiyo yaani kimavi unatembea nacho 😂😂😂😂😂
Apo mwisho case closed 😂😂😂 nimekusoma vema sameeyah.Kugongwa atakuwa anataka ila nahisi anawaza na umri huu naanzaje kumvulia mtu nguo? Haya Mambo bwana yana umri wake, kitu 45 plus halafu huna mvuto wowote
We huyo unafikili hagongwi labla iwe toka azaliwe hajaonja ule utamu huko huko kanisani.Kugongwa atakuwa anataka ila nahisi anawaza na umri huu naanzaje kumvulia mtu nguo? Haya Mambo bwana yana umri wake, kitu 45 plus halafu huna mvuto wowote
😀😀 Sawa mkuuApo mwisho case closed 😂😂😂 nimekusoma vema sameeyah.
😂😂😂 af wala sema ni leo tu niko kwa mood hio. ila gheto lieshimike jamani, sio sehemu ya ibada pale. Ukija unajiongeza tu purukushani zisiwe nyingiHahahaha we sio mzima wallah unawaza kuchikwichi mda wote.
Sijambo mhenga, umenitenga sana na hunipendi tena[emoji39][emoji39][emoji23]Kwa makubaliano yao sio mie niwaunganishe [emoji3][emoji3], mhenga hujambo lakini?
Bora wewe umekuwa mkweli ndo imetoka hivyo 36 yrs
uzuri wake I grow old gracefully...sina bitter feelings..nikipata wa kunioa sawa,nisipopata pia sawa...
Hizo budget hazina ulazima wowote mkuu.Hahahah sasa kuoa ni gharama ya mamilioni aisee, na hapo ni excluding dowry! Soon mtakuja ku realize kumbe kinachokwamisha zoezi ni expenses za ukumbi na mbwembwe zisizo na lazima ili mashosti wakome.
Budget: MC Gharab, Cardinal Rugambwa hall, Lavie makeup, range rover 3, Wedding gown expensive san, suit za wapambe kali, catering ya gharama.....n.k Total...25M!
Af bado wanalalamika hakuna waoaji eti😂😂😂!
Wadada ajira hakuna sikuhizi na maisha ni safari, anzeni taratibu na wenza wenu mtafika tu. Wanaoweza haya ni vijana waliotokea kwenye family zenye mawe tu ambao ni wachache sana nchini kulinganisha na ratio ya wanawake.
Natamani ungekuwa unamjua ungeaamini. Ndugu zake wanaamini ni bikraWe huyo unafikili hagongwi labla iwe toka azaliwe hajaonja ule utamu huko huko kanisani.
😂😂😂😂😂 kengemaji ww, ndio ndoa hio sharti ulale uchi!Matokeo ya kuolewa ni mbaya sana, kwanza unageuzwa geuzwa na lijamaa usiku kucha linavo taka, mara uvimbe juu, mara utapike
shit
Ndo maisha si lazima upate kila utakacho na bado waweza kuwa na furaha
Nakupendaga ila ndo hivyo huoniSijambo mhenga, umenitenga sana na hunipendi tena[emoji39][emoji39][emoji23]
Hamna anawahi wahi na anaechelewa kila mtu ana muda wake.Ushachelewa mwananchi
kwa majibu hayo na hekima lazma uwe na mume tu. Hata ungekuwa huna ningekusitiri mimi mamii😂 nina slot 3 zipo waziYes nimeolewa mkuu
😂😂😂 hili dongo unaweza kopea CRDBUmri ukifika mbona utahuzunika maana kadri umri unavyosonga soko lako linapotea wanakuja watoto watamu ambao twagombania na watoto wenzao. Wewe na ubibi wako utabakia kutegeema waganga