Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Na mizinga pia.. Mizinga inakimbiza sana wanaume! Mi mwanamke niliyemuoa hakuwahi niomba hela hata siku moja, akawa kawazidi vigezo wote sasa anakula mema ya nchi!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hapo kwenye mizinga ukijaribu kuwa mtata hukawii kuonekana huna hela. Ngoja kile kikosi kazi wakuone unasifia kuto kuombwa hela.
 
Hilo ndio wasilojua
Kadri wanavyokuwa soko lao lapungua maana wanazaliwa wazuri kuwazidi. Specie mpya mchanganyiko wa damu sio sura ngumu ya kabila moja.

Wanaume wanaongezeka market kutokana na umri
[emoji23][emoji23][emoji23] hili dongo unaweza kopea CRDB
 
kwa majibu hayo na hekima lazma uwe na mume tu. Hata ungekuwa huna ningekusitiri mimi mamiiπŸ˜‚ nina slot 3 zipo wazi
Eti ungenistiri huyo aliyenioa hajanistiri bali tumestiriana yaani ndoa kwako unaona kama uhai vile tuulize tulio kuwa ndani ya ndoa najua wewe bado msela πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Wanajionaga wazuri sana bila kujua kuna kuchuja, kuna muda unafika hata wale aliowakataaga kwa mbwembwe anatamani hata kupokea s ilaalamu toka kwao.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila inakuwa too late hasa wakiwa washaoa na life imekaa mkao wanapiga na kusepa.
 
Mmh haya! Ila mi nayokuambia ungekuwa unamfahamu ungeniamini. Huyu kila kitu ni dhambi. Hlf tayari ana akili za kibibi
Hahahaha pole yake ana kufa na utamu wake
 
Halafu hizi fikra mwanamke anachuja hebu badilikeni,Mwanamke kujitunza mwili wala hauchuji wala sura haitoonyesha umri umeenda πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hahahaha pole yake ana kufa na utamu wake
Ajiongeze basi hata apate mtoto Kama kuolewa imeshindikana nayo anaona dhambi. Kuondoka nyumbani ukajitegemee nako ni dhambi eti ni kukosa maadili so yupo tu kwao na anazeeka tunamuona.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nunua kigodoro Nemo, chura ni rasilimali na kivutio muhimu sana kwa sasa....lol just kidding. Be confident with yourself utapata mwanaume anaependa body yako. Wapo hata humu humu.
 
ndoa si matako kama kila mtu anayo na wala sio lelemama na hasa ndoa za vijana wa kileo. Waliomo ndani ya ndoa wanataka kutoka sasa nyie wenye viherehere mnaotaka kuingia kwa tashwishwi za watu wengine ambao mpo humo shauri zenu, mtahesabiwa vyuo kila siku , ndoa zamani bhana sio sasa
 
Zamani ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…