Pole njoo kwangu Nikuoe tuanzishe kafamilia ketuuna aki
akilizako kama za boya moja nlikuaga nae eti anasema kabisa hataki kuoa haa nikamuacha mchana kweupe sijui nani alimwambia mi nataka vitombi..ms....nge sana yule kaka..na bora alitamka mapema.
Ni kweli kabisa mana wote tukioa tutakosa mapadre
Kazi kwel kwelWatakuja na kauli za kujifariji ila ndio hvo tena
Utasikia mimi naona mda wakuolewa bado... Mambo yakija mgomea mbele ya safari anakua chizi....
Anakua analiwa anaachwa... Anaanza ohhh nimerogwa
FactsKuna wengine hawafai olewa
Ngoja waje wakushambulie huu uzi umewachoma
Ndoa ingekuwa lazima kwa mwanamke basi tungekuwa tunazaliwa na vyeti vya ndoa mkononi ili ukipata ufahamu tu unamjua mme wako nani
Au papuchi zingeandikwa majina ya mmiliki toka tumboni
Unless otherwise
Ndoa sio lazima
Vitajitetea hapa lakin mwanamke asipoolewa ni mbwisi kabiss..takataka
Kabisa kabisa..hafai kabisaaHta kwa jamii utaonekana vbyaa
Kila kitu kina wakati wake usilazimishe
Nshachumbiwa mimi,.
Wanawake Wenye umri kuanzia miaka 28 -30 ambao Mpaka Sasa hawajaolewa wapewe course gani ili waweze kuolewa!?? Alisikika mlevi mmoja akiuliza swali
Kuolewa ni majaliwa
umeandika pumba tu.
Usikimbilie mume ukaokondesha moyo. Cc kasimu mganga
Umekosea mkuu,Omba Sana watoto wako wa kike kama utabatika wapate ndoa wasije angukia kwenye kundi ulisemalo la mbwisi au takataka.Vitajitetea hapa lakin mwanamke asipoolewa ni mbwisi kabiss..takataka
wanatamani ku like hiii reply yako ila wanaogopa vibaya Mno...na uhakika saivi ingetakiwa iwe ishapata Likes za kutosha ila Kila mtu anajifkiria ni ki like watanijua sjaolewa π π πMkuu hudhani huu uzi utafanya wazidi kujiskia vibaya?
Kuolewa ni suala lipo nje ya control yao (mara nyingi)
Ulichofanya hapa ni sawa na kumuuliza kiwete anajiskiaje 'kuona wenzie wanatembea kila kukicha'?
Nashauri ufutilie mbali huu uzi kandamizi
Mimi nataka niletee posa kwenu niweze kukuoa unasemaje?Ndo maana hamwolew kwa kaul kama hzi