Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
yap,mwanamke ana power ya kumteka mwanaume,like utii,unyenyekevu,caring, heshima,kujielewa,hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu,sasa unakutana na yule mwanamke wa wanawake live,hata wewe ungekuwa mwanaume ungeoa kweli?Kwani wewe unauelewa gani kuhusu ndoa kwamba mwanamke unaweza kutoa amri ya ndoa ifungwe pasipo makubaliano.
comment yako inaonesha wewe sio sister, tafuta mwanaume wewe uenjoy maishautajuaje mimi ni sister wa Covenant ya JF?
unasali kanisa gani na mimi nije?Nashauri wasichague sana...mimi naamini ktk maombi...waombe Mungu atawapa kwa wakati sahihi
kwa nini usiolewe,utakuwa una matatizo weweEeeeh sasa jamani kama wa kutuoa hawapo tufanyaje.... Kuna vitu vingine huwezi kufosi vitokee acha wanaoolewa waolewe wakati wao umefika
changamka muda ni adui number moja kwa mwanamkeMi natamani nikiona mashoga zangu kila mwezi nawachangia harusi sema sina haraka najua atakuja mtu ila ndo lini sijui na nishasema sitaki ndoa ya majaribio ya kuwafurahisha binadamu.
Wakati ukifika na mie nitakua Mrs. somebody inshallah
Jamaa hana mtoto hata wa kusingiziwa, ila mkewe alipata mimba kabla ya ndoa mtoto alifariki akiwa tumboni. Shem ni mkubwa kwa dada yangu. Ndoa yao ikafungwa dada akiwa 32 na wanapendana sana kwa kuwatazama tu, ya ndani wanajuwa wao.alikuwa ameshazaa, huyo jamaa ana umri gani???
Kwahiyo una dusheNimeoa....
Tulichokuwa tunaongelea ni miaka sio kuolewahakuna mwanamke ambaye hajawahi kuwa na ndoto ya kuolewa, mwanamke bila mwanaume hajakamilika, tafuta mwanaume uenjoy maisha utaishi upweke hadi lini??
yale yale tu mwanamke ni mwanamke tu eiza awe ana miaka 20 au 40, tafuta mwanaume uenjoy maisha weweTulichokuwa tunaongelea ni miaka sio kuolewa
hatari sanaJamaa hana mtoto hata wa kusingiziwa, ila mkewe alipata mimba kabla ya ndoa mtoto alifariki akiwa tumboni. Shem ni mkubwa kwa dada yangu. Ndoa yao ikafungwa dada akiwa 32 na wanapendana sana kwa kuwatazama tu, ya ndani wanajuwa wao.
Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
Jamaa alkuwa desperate na kuoa sometimes inafikia situation kweny maisha na changamoto unaamua ujioleeMkuu, sema wewe unaoa watoto usisemee wanaume wote. Mi dada yangu ameolewa na 32, unafikiri huyo mwanaume hajaona wa 23, kila mwanaume na akili zake na kila couple unayoona wana yao yanayowasukuma kufunga ndoa mbali na age. Wanaume wa sampuli yako ni hatari kwa afya maana kesho nikizeeka itabidi uanze kuwatafuna wajukuu zetu.
Wanazingua sana..Wajinga sana... Hua wanachagua sana waume wakuwaoa.. wanakuja pata mme kimeo.. anabaki analia tu... Kuna mmoja nilikua nae kama BF and GF kwa miaka 5.. Akaja zingua kuolewa... nikambembeleza weee hataki... Nikamwacha nikaoa mtu mwingine...
Kumbe alipata jamaa mmoja hivi mke wake alikua kaenda Chuo SA... Mke karudi jamaa kampiga chini... Kwa sasa yupo anapuyanga tu....kila mtu anamkula full stress... siku moja et linatuma text kwangu miss you... vipi familia... sijamjibu... kuna siku nipo tena moro... nashangaa huyo kajaa... ila... nilipiga hadi leo hua napiga tu... mara naomba kuzaa na wewe hata mtoto mmoja ...hua nakataaa tu...
Wanawake msiwe selective sana....maisha tafuteni wote..sio unamkuta tu mwanaume ana hela zake.. utaishia kua mme wa pili au mchepuko wa jamaa na manyanyaso kibao... shauri zenu
Inawezekanakwa nini usiolewe,utakuwa una matatizo wewe
changamka muda ni adui number moja kwa mwanamke
Kwahiyo una dushe
Noma sana, maisha yanabadilika kwa kasi sana. Soon kuoa/kuolewa itakuwa ni swala la maamuzi tu na sio swala la lazima kama ilivyo kwa wazungu.