Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Kwani wewe unauelewa gani kuhusu ndoa kwamba mwanamke unaweza kutoa amri ya ndoa ifungwe pasipo makubaliano.
yap,mwanamke ana power ya kumteka mwanaume,like utii,unyenyekevu,caring, heshima,kujielewa,hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu,sasa unakutana na yule mwanamke wa wanawake live,hata wewe ungekuwa mwanaume ungeoa kweli?
 
Mi natamani nikiona mashoga zangu kila mwezi nawachangia harusi sema sina haraka najua atakuja mtu ila ndo lini sijui na nishasema sitaki ndoa ya majaribio ya kuwafurahisha binadamu.

Wakati ukifika na mie nitakua Mrs. somebody inshallah
changamka muda ni adui number moja kwa mwanamke
 
alikuwa ameshazaa, huyo jamaa ana umri gani???
Jamaa hana mtoto hata wa kusingiziwa, ila mkewe alipata mimba kabla ya ndoa mtoto alifariki akiwa tumboni. Shem ni mkubwa kwa dada yangu. Ndoa yao ikafungwa dada akiwa 32 na wanapendana sana kwa kuwatazama tu, ya ndani wanajuwa wao.
 
Jamaa hana mtoto hata wa kusingiziwa, ila mkewe alipata mimba kabla ya ndoa mtoto alifariki akiwa tumboni. Shem ni mkubwa kwa dada yangu. Ndoa yao ikafungwa dada akiwa 32 na wanapendana sana kwa kuwatazama tu, ya ndani wanajuwa wao.
hatari sana
 
Wasubiri watakujibu wahusika
Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??

Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi

Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi

Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.

JIMAPILI NJEMA.
 
Mkuu, sema wewe unaoa watoto usisemee wanaume wote. Mi dada yangu ameolewa na 32, unafikiri huyo mwanaume hajaona wa 23, kila mwanaume na akili zake na kila couple unayoona wana yao yanayowasukuma kufunga ndoa mbali na age. Wanaume wa sampuli yako ni hatari kwa afya maana kesho nikizeeka itabidi uanze kuwatafuna wajukuu zetu.
Jamaa alkuwa desperate na kuoa sometimes inafikia situation kweny maisha na changamoto unaamua ujiolee

If not hiyo case na mfano uliotoa ni mara chache unatokea one in million lakini majority of us hatuoi mwanamke umri umeenda
 
Mkuu Champagnee gnee una mtoto wa kike wewe?

ukoo wenu wooottee watoto wa kike wameolewa?

naomba unjibu haya maswali kwanza kabla hatujsonga mbele zaidi
 
Wajinga sana... Hua wanachagua sana waume wakuwaoa.. wanakuja pata mme kimeo.. anabaki analia tu... Kuna mmoja nilikua nae kama BF and GF kwa miaka 5.. Akaja zingua kuolewa... nikambembeleza weee hataki... Nikamwacha nikaoa mtu mwingine...

Kumbe alipata jamaa mmoja hivi mke wake alikua kaenda Chuo SA... Mke karudi jamaa kampiga chini... Kwa sasa yupo anapuyanga tu....kila mtu anamkula full stress... siku moja et linatuma text kwangu miss you... vipi familia... sijamjibu... kuna siku nipo tena moro... nashangaa huyo kajaa... ila... nilipiga hadi leo hua napiga tu... mara naomba kuzaa na wewe hata mtoto mmoja ...hua nakataaa tu...

Wanawake msiwe selective sana....maisha tafuteni wote..sio unamkuta tu mwanaume ana hela zake.. utaishia kua mme wa pili au mchepuko wa jamaa na manyanyaso kibao... shauri zenu
Wanazingua sana..
Kwahiyo unamkula... Angalia asikutegeshee mimba tu
 
Back
Top Bottom