Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Hii techniq inafanya kazi kwenye uhalisia. Nashauri wale wenye haja kali ya kuongeza chances za kupata mume waijaribu.
Nina ushuhuda toka kwa dada mmoja niliwahi kumpa ushauri kama huu na ukafanya kazi.
 
wape salamu .....nawasalimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…