Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #961
Wengine wataolewa peponi
Unakosa nyama za kutetea point ako sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wataolewa peponi
Karibu , Njoo ujimwage PMStill waiting..
Oh umefunga[emoji17]Karibu , Njoo ujimwage PM
Wewe unajisikiajewenzako wanapougua nawe unaendelea kula maisha tu?
Ayeeeeee kmmk 😂 😂Ndio ivyo mzee baba hawa wanawake wapo wengi sana na sio lazima wote waolewe wengine ni kwa ajili ya kuosha rungu tunapokua tumechoka kupiga papuchi za kwenye ndoa
Hatari Na nusundoa(kuishi na adui yako na kulala nae kitanda kimoja) dadeki. ngumu hiyo. sio pa kuingia kichwakichwa hapo.
now that's gangaNdio ivyo mzee baba hawa wanawake wapo wengi sana na sio lazima wote waolewe wengine ni kwa ajili ya kuosha rungu tunapokua tumechoka kupiga papuchi za kwenye ndoa
Unawaweka tuu then siku zinasonga sio??!!Kwani ni lazima kuoa ? Ama kuolewa
Hii style ya maisha inatukwamisha sana mimi nazalosha tu swala la kuoa huwa sifikirii
Hii techniq inafanya kazi kwenye uhalisia. Nashauri wale wenye haja kali ya kuongeza chances za kupata mume waijaribu.Jibu kwa mlevi mwanamke ahame anapoishi na aende kuishi uhamishoni, huko uhamishoni inabidi awe na tabia njema Sana kwa kuwa waowaji wapo katika mazingira yanayomzunguka muhusika asianzishe uhusiano na mtu yoyote amkatae kila atakayemtongoza au kwa maneno mengine awape condition ya ndoa na awe anawashauri kuhusu maisha itamfanya aonekane ni mtu smart kuna watakaoingia mkenge
Kukaa ulipozaliwa na kukulia nayo ni changamoto masela Wana stori zako kuanzia aliyekutoa bikri mpaka uliyetoa mimba yake waliokupiga mtungo mpaka shughuli unaijua ama haujui nani ataingia mkenge kuoa?
wape salamu .....nawasalimiaKuna wanawake 3 tofauti niliongea nao na maongezi
1. Nyie wanaume mna raha sana maana mkiamua kuoa, mnajipanga tu hata miaka miwili mnatafuta mke mnaanza maisha.
Ila sisi wanawake unafika wakati unataka mume ila kila anayekuja anagonga na anasepa.
2. Kuna mwingine nilipita namweleza twende kwenye mahubiri; akanambia kama niko tayari kumuoa ataambatana nami.
3. Huyu aliniambia yuko tayari kubadili dini kwa kijana yeyote atakayekuwa tayari kumuoa. Hataki abadili dini then aendelee kuishi kwao. Bali anataka awe na mume naye.
Kwa nyakati tofauti na usiniulize age zao.
Mioyo yao imebeba huzuni na furaha zao ni kupata wenza wa maisha.
Uzi urudiwe urudiwe tuwakereee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanajisikia vibaya,sasa kwanini na nyinyi hamuwaoi...
Unateseka ukiwa wapi??[emoji854]Uzi urudiwe urudiwe tuwakereee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aah tuacheni na mileage zetu bana, kwanza hainaga makombo ikioshwa tu inakua mpyaa😏😏Mileage zinasoma 200k plus
Pole mkuu. Ila Mungu yupo utaolewa tuumeandika pumba tu.
😅😅Unateseka ukiwa wapi??[emoji854]