Hahaaaa daahwanatamani ku like hiii reply yako ila wanaogopa vibaya Mno...na uhakika saivi ingetakiwa iwe ishapata Likes za kutosha ila Kila mtu anajifkiria ni ki like watanijua sjaolewa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JF raha sana yani watu tunatumia ID fake ila kuna mambo mtu hata kama hajulikani ukimwambia afanye,aseme,aandike Bado hatoweza sjui hii watu wa saikoloji wanalisemeaje.
Wasipopata ni upumbavu wao..mimi hapo nitakua siusikii kabisaUmekosea mkuu,Omba Sana watoto wako wa kike kama utabatika wapate ndoa wasije angukia kwenye kundi ulisemalo la mbwisi au takataka.
sasa njoo kwangu hapa twende kwa shehe kukakamilishe daughteruna aki
akilizako kama za boya moja nlikuaga nae eti anasema kabisa hataki kuoa haa nikamuacha mchana kweupe sijui nani alimwambia mi nataka vitombi..ms....nge sana yule kaka..na bora alitamka mapema.
Usikimbilie mume ukaokondesha moyo. Cc kasimu mganga
Naaam mkuuWord
Kuolewa ni sheria sio majariwaKuolewa ni majaliwa
aisee mkuu japo mimi ni me lakini naona unatakiwa uwe na lugha ya staha kidogo hivi umeshafikiria kuwa hata wewe cku 1 utakuja kuwa baba,anko,binamu au kaka ya hao wanawake ambao hawajaolewa?Ndio ivyo mzee baba hawa wanawake wapo wengi sana na sio lazima wote waolewe wengine ni kwa ajili ya kuosha rungu tunapokua tumechoka kupiga papuchi za kwenye ndoa
Kwani wewe unauelewa gani kuhusu ndoa kwamba mwanamke unaweza kutoa amri ya ndoa ifungwe pasipo makubaliano.Wasipopata ni upumbavu wao..mimi hapo nitakua siusikii kabisa
Tulia kisha soma tena comment yangu uelewe vizuri mkuuMna kauli mbaya sana
Sio kwamba utakuwa uhusiki utahusika na roho itakuuma sana kuona binti zako wapo home.Wasipopata ni upumbavu wao..mimi hapo nitakua siusikii kabisa
Nikuambie tu hakuna mwanamke ambae hajawahi kubahatika kupata mtu mwenye nia ya kumuoa...tatizo lipo kwenu wanawake mnachagua sana,mnataka kila kitu mkukute,tatizo linaanzia hapo...Kwani wewe unauelewa gani kuhusu ndoa kwamba mwanamke unaweza kutoa amri ya ndoa ifungwe pasipo makubaliano.
Kwa sasa yupo mmoja..ila ataolewa tu labda mama yake amharibu na dunia zenu za kufikirika, kutaka ndoa hadi zipeoekwe bbc,tarumbuta,watu wakeshe wakila nankunywa n.k...ila kama ni ndoa ya kawaida ataolewa na mtu wake tu na watatengeneza maisha yao pamoja bila shida yoyoteSio kwamba utakuwa uhusiki utahusika na roho itakuuma sana kuona binti zako wapo home.
Uko sahihi kabisaWasipopata ni upumbavu wao..mimi hapo nitakua siusikii kabisa
Jinsia yako ni me ila unaonekana unataka uvae uhusika una mawazo mabaya juu ya wanawake.Nikuambie tu hakuna mwanamke ambae hajawahi kubahatika kupata mtu mwenye nia ya kumuoa...tatizo lipo kwenu wanawake mnachagua sana,mnataka kila kitu mkukute,tatizo linaanzia hapo...
Naona wivu sana ila siharibu harusi ya mabest zangu.Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
Eti ataolewa tu kama vile nawe ni Mungu omba sana asije kukuletea mtoto nyumbani kabla ya ndoa.Kwa sasa yupo mmoja..ila ataolewa tu labda mama yake amharibu na dunia zenu za kufikirika, kutaka ndoa hadi zipeoekwe bbc,tarumbuta,watu wakeshe wakila nankunywa n.k...ila kama ni ndoa ya kawaida ataolewa na mtu wake tu na watatengeneza maisha yao pamoja bila shida yoyote
Sina mawazo mabaya juu ya wanawake na nawaheshimu sana..lakin meanamke ambae hajaolewa kajitakia hakuna wakumlaumu,tatizo ni yeye na sio sisiJinsia yako ni me ila unaonekana unataka uvae uhusika una mawazo mabaya juu ya wanawake.
Huyo Mungu mwenyew simwamini...ila nishasema ataolewa ni lazima hiyoEti ataolewa tu kama vile nawe ni Mungu omba sana asije kukuletea mtoto nyumbani kabla ya ndoa.
Kabisa mkuu naona vinajitetea hapa..vimeringa ringa usichansni mwao na kuchagua kama vinachagua nyanya wakifika 35 huko wanaanza kulialiaUko sahihi kabisa