Umenichekesha comment yako muandae huyo mwanaume wa kumuoa mkuu maana hata baadhi ya wanaume hawana hata hayo mawazo ya ndoa ni Mia kwa mmoja anawaza ndoa.Huyo Mungu mwenyew simwamini...ila nishasema ataolewa ni lazima hiyo
Kikubwa aache dharau..wanawake mngepunguza dharau wote mngekua kwa waume zenuUmenichekesha comment yako muandae huyo mwanaume wa kumuoa mkuu maana hata wanaume wenyewe hawana hata hayo mawazo ya ndoa ni Mia kwa mmoja anawaza ndoa.
Mwanamke hawezi kuleta dharau pasipo sababu.Kikubwa aache dharau..wanawake mngepunguza dharau wote mngekua kwa waume zenu
Unataka kunuambia mpaka mwanamke anafikisha miaka 30 hajatongozwa au kitakuwa na mtu mwenye malengo na yey?Mwanamke hawezi kuleta dharau pasipo sababu.
MANUNGAYEMBEDada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
wanatamani ku like hiii reply yako ila wanaogopa vibaya Mno...na uhakika saivi ingetakiwa iwe ishapata Likes za kutosha ila Kila mtu anajifkiria ni ki like watanijua sjaolewa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JF raha sana yani watu tunatumia ID fake ila kuna mambo mtu hata kama hajulikani ukimwambia afanye,aseme,aandike Bado hatoweza sjui hii watu wa saikoloji wanalisemeaje.
Mimi nataka niletee posa kwenu niweze kukuoa unasemaje?
Kuna kanuni ukitongozwa lazima ukubali halafu umri 30 kwako unauchukuliaje yaani Ukifika umri huo pasipo kuwa na ndoa ni mkosi,Ni bora kukaa bila ndoa kuliko kuolewa na mtu asiye sahihi.Unataka kunuambia mpaka mwanamke anafikisha miaka 30 hajatongozwa au kitakuwa na mtu mwenye malengo na yey?
Naona wivu sana ila siharibu harusi ya mabest zangu.
Ila roho inauma
Asantee sana ubarikiweWewe ndo umesema ukweli, nakuombea kwa mungu upate mume bora [emoji108]
Wataolewaje wakati wanajidai wajanja wanajua kilakitu...
Nani anataka kuoa Google?
Ndoa zinatengenezwa na malezi kuanzia nyumbani.
Sasa mitoto unaidekeza dekeza
Inakuwa mijeuri na kiburi nani aioe?
SawaDada yangu me ameolewa na ana 2 kids now, tuliobak wote madume sasa sijui unatak nn
Like uonekane 🤣 🤣 🤣Roho inakushuta hv🤣🤣🤣
Asantee sana ubarikiwe
Like uonekane 🤣 🤣 🤣
Sawa
Nilishachumbiwa miaka miwili iliyo pita now niko kwenye ndoa.Unataka kuchumbiwa??