Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Mungu awasaidie
 
Na sisi wanaume ambao hatuoi wakati makamanda wenzetu wanavuta majiko kila uchwao. Tuna comment wapi?
 
Anatuzingua uyo, huwa naskia kuna muda bikra huwa inatoka yenyew labda ni bikra hajawai kuingizwa mashine sawa
Ha haa kweli siwazingui ni kweli, labda Kama imetoka Kama hivyo ulisema mi sijui , ila ninachojua mimi ni kwamba hajawahi guswa na mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…