Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
-
- #121
Na kuna Wanaume pia hawajielewi,mbona anaharibia binti CV na akijua hamuoi??
Wanaochezea kinadada na wasiwaoe ni wanaume,tena wakishawatumia wanawaponda.
Nzipu me sifungui dada
Mungu awasaidieKuna wanawake 3 tofauti niliongea nao na maongezi
1. Nyie wanaume mna raha sana maana mkiamua kuoa, mnajipanga tu hata miaka miwili mnatafuta mke mnaanza maisha.
Ila sisi wanawake unafika wakati unataka mume ila kila anayekuja anagonga na anasepa.
2. Kuna mwingine nilipita namweleza twende kwenye mahubiri; akanambia kama niko tayari kumuoa ataambatana nami.
3. Huyu aliniambia yuko tayari kubadili dini kwa kijana yeyote atakayekuwa tayari kumuoa. Hataki abadili dini then aendelee kuishi kwao. Bali anataka awe na mume naye.
Kwa nyakati tofauti na usiniulize age zao.
Mioyo yao imebeba huzuni na furaha zao ni kupata wenza wa maisha.
Hellow Mrs.LondonEasy Sunday...
Jiwe hili umepiga gizani litawapa wengi sana
Watakutukana
duuh. huyo noma. katunza miaka 50?Nina wifi yangu akakaribia 50 na bado ana matumaini ya kuolewa, ni bikra hajawahi kuguswa, mlokole ila nahisi kakeketwa
Nina wifi yangu akakaribia 50 na bado ana matumaini ya kuolewa, ni bikra hajawahi kuguswa, mlokole ila nahisi kakeketwa
duuh. huyo noma. katunza miaka 50?
Inavyosemekana, hata kimuonekano anaonyesha kabisa kuwa hajaguswa.duuh. huyo noma. katunza miaka 50?
Kama hakuna kilichopita huko chini tumuiteje?50yrs ni bikra??
good for her.Inavyosemekana, hata kimuonekano anaonyesha kabisa kuwa hajaguswa.
Na sisi wanaume ambao hatuoi wakati makamanda wenzetu wanavuta majiko kila uchwao. Tuna comment wapi?Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
Ha haa kweli siwazingui ni kweli, labda Kama imetoka Kama hivyo ulisema mi sijui , ila ninachojua mimi ni kwamba hajawahi guswa na mwanaumeAnatuzingua uyo, huwa naskia kuna muda bikra huwa inatoka yenyew labda ni bikra hajawai kuingizwa mashine sawa
Na sisi wanaume ambao hatuoi wakati makamanda wenzetu wanavuta majiko kila uchwao. Tuna comment wapi?
Not at all, ana ghubu balaa anahitaji mtu wakumfucgood for her.
Ha haa kweli siwazingui ni kweli, labda Kama imetoka Kama hivyo ulisema mi sijui , ila ninachojua mimi ni kwamba hajawahi guswa na mwanaume