Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea mkuu,Omba Sana watoto wako wa kike kama utabatika wapate ndoa wasije angukia kwenye kundi ulisemalo la mbwisi au takataka.
Kwakweli wanaume mmezidi kutunyanyasa wakati waoaji ndio nyie...
Kwani nyie dada zenu wote walishaolewa?
Kuolewa majaaliwa jamani kabla hujacomment jiulize wewe umeoa au ndowalewale mnaofunua na kufunika
Kuoa mpaka 35yrs
Nimeipenda avatar yako.Hebu kwanza utuambie, tukishakwambia tunavyojisikia utachukua hatua gani?
Mara wanaume hawaelewek sabab kibao
Haya.Nimeipenda avatar yako.
karibuPole njoo kwangu Nikuoe tuanzishe kafamilia ketu
karibuVp nafasi bado ipo wazi?
ThanksCongratulations
Hatar sana
Ila unafungua zipu kama kawaida afu unakuja na bandiko hapa y hawaolewi
Wajinga sana... Hua wanachagua sana waume wakuwaoa.. wanakuja pata mme kimeo.. anabaki analia tu... Kuna mmoja nilikua nae kama BF and GF kwa miaka 5.. Akaja zingua kuolewa... nikambembeleza weee hataki... Nikamwacha nikaoa mtu mwingine...
Kumbe alipata jamaa mmoja hivi mke wake alikua kaenda Chuo SA... Mke karudi jamaa kampiga chini... Kwa sasa yupo anapuyanga tu....kila mtu anamkula full stress... siku moja et linatuma text kwangu miss you... vipi familia... sijamjibu... kuna siku nipo tena moro... nashangaa huyo kajaa... ila... nilipiga hadi leo hua napiga tu... mara naomba kuzaa na wewe hata mtoto mmoja ...hua nakataaa tu...
Wanawake msiwe selective sana....maisha tafuteni wote..sio unamkuta tu mwanaume ana hela zake.. utaishia kua mme wa pili au mchepuko wa jamaa na manyanyaso kibao... shauri zenu
Kuna mabinti hawajielewi tu mambo ya majaaliwa na mipango ya Mungu haihusiki wala.
Ni utetezi unaolenga ku-justify upumbavu wao tu jaribu kufuatilia walio na umri wa 21-25