Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Ndoa ingekuwa lazima kwa mwanamke basi tungekuwa tunazaliwa na vyeti vya ndoa mkononi ili ukipata ufahamu tu unamjua mme wako nani
Au papuchi zingeandikwa majina ya mmiliki toka tumboni
Unless otherwise
Ndoa sio lazima
Mawazo haya yameanza kuja lini? Kipindi kile upo chuo unamwita yule jamaa husband hukuyajua haya....
 
Kwa
Kwa akili yako unadhani wale walio kosa Ndoa hawakulelewa kwenye maadili Kama wapo na wema wapo wanao tokea kwenye Familia zilizo wakuza vyema.Nimejibi comment yake kulingana yeye ameandika kitu gani.
Nimefuatilia comments zako..,upo vizuri...ushaolewa?
 
Matokeo ya kuolewa ni mbaya sana, kwanza unageuzwa geuzwa na lijamaa usiku kucha linavo taka, mara uvimbe juu, mara utapike
shit
Umri ukifika mbona utahuzunika maana kadri umri unavyosonga soko lako linapotea wanakuja watoto watamu ambao twagombania na watoto wenzao. Wewe na ubibi wako utabakia kutegeema waganga
 
Umri ukifika mbona utahuzunika maana kadri umri unavyosonga soko lako linapotea wanakuja watoto watamu ambao twagombania na watoto wenzao. Wewe na ubibi wako utabakia kutegeema waganga
Wazee pia watakuwapo tu tena wengiiii
 
Back
Top Bottom