mzeewanusu
Senior Member
- Apr 11, 2019
- 106
- 81
hahahahahahahaMpka saiv tushajua ww ni walewale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahaMpka saiv tushajua ww ni walewale
Mawazo haya yameanza kuja lini? Kipindi kile upo chuo unamwita yule jamaa husband hukuyajua haya....Ndoa ingekuwa lazima kwa mwanamke basi tungekuwa tunazaliwa na vyeti vya ndoa mkononi ili ukipata ufahamu tu unamjua mme wako nani
Au papuchi zingeandikwa majina ya mmiliki toka tumboni
Unless otherwise
Ndoa sio lazima
Dada una majibu mazuri sana.. nimekupendaUmekosea mkuu,Omba Sana watoto wako wa kike kama utabatika wapate ndoa wasije angukia kwenye kundi ulisemalo la mbwisi au takataka.
Nimefuatilia comments zako..,upo vizuri...ushaolewa?Kwa
Kwa akili yako unadhani wale walio kosa Ndoa hawakulelewa kwenye maadili Kama wapo na wema wapo wanao tokea kwenye Familia zilizo wakuza vyema.Nimejibi comment yake kulingana yeye ameandika kitu gani.
Yes nimeolewa mkuuNimefuatilia comments zako..,upo vizuri...ushaolewa?
Huu mchezo hauhitaji hasira..eeh ulidhani mm kama ww..nn cha ajabu apo nilivoandika msenge au..mxeeew.
Awasaidie mara ngapi wakati hamjielewiwanawake tuna kazi sana Mungu atusaidie
asnte kwa taarifa mtoa uzi
Umri ukifika mbona utahuzunika maana kadri umri unavyosonga soko lako linapotea wanakuja watoto watamu ambao twagombania na watoto wenzao. Wewe na ubibi wako utabakia kutegeema wagangaMatokeo ya kuolewa ni mbaya sana, kwanza unageuzwa geuzwa na lijamaa usiku kucha linavo taka, mara uvimbe juu, mara utapike
shit
Kama una Baba muulize Dada yako asipoolewa atajisikiajeKwani wanawake wasipoolewa wanaume wanapata hasara gani?
Wazee pia watakuwapo tu tena wengiiiiUmri ukifika mbona utahuzunika maana kadri umri unavyosonga soko lako linapotea wanakuja watoto watamu ambao twagombania na watoto wenzao. Wewe na ubibi wako utabakia kutegeema waganga
Wazee pia watakuwapo tu tena wengiiii
Mkuu kifupi matatizo ya kuhusu ndoa hayapo kwa wanawake hata wanaume pia baadhi ni wachafuzi sio waoaji ila hapa lawama nyingi za kinafiki
Hongera sana mkuu...comments zako zipo tofauti sana na za wadada wengi humu...msalimie shem.Yes nimeolewa mkuu
Kuchumbiwa na kuolewa ni vitu viwili tofauti, nlidhani umeolewa kumbe umeongopewaNshachumbiwa mimi,.
wazee kwangu.wanao nizidi usikariri mamboSasa mzee aache watoto wazuri aje kwa gume gume
Kwani wanawake wasipoolewa wanaume wanapata hasara gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utasikia mimi naona mda wakuolewa bado... Mambo yakija mgomea mbele ya safari anakua chizi....
Anakua analiwa anaachwa... Anaanza ohhh nimerogwa