Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Umri ukifika mbona utahuzunika maana kadri umri unavyosonga soko lako linapotea wanakuja watoto watamu ambao twagombania na watoto wenzao. Wewe na ubibi wako utabakia kutegeema waganga

Brother acha kusema ukwel watakuroga
 
Ndoa ingekuwa lazima kwa mwanamke basi tungekuwa tunazaliwa na vyeti vya ndoa mkononi ili ukipata ufahamu tu unamjua mme wako nani
Au papuchi zingeandikwa majina ya mmiliki toka tumboni
Unless otherwise
Ndoa sio lazima
Angalau umejifariji ingawa bado inachoma moyo
 
Kabisa mkuu naona vinajitetea hapa..vimeringa ringa usichansni mwao na kuchagua kama vinachagua nyanya wakifika 35 huko wanaanza kulialia
Kweli kuna sister mmoja, nakumbuk alikuwa between 25-27, mama yake alikuwa akimshauri sana aolewe maana alikuwa amenoga na wanaume wengi wenye uwezo wa kati na wenye uwezo wa jui kidogo walikuwa wakimtafuta sana, ila akawa anaringa sana na kumuambia mama yake asubiri kwanza.

Saiv ana 40' na kaishia kuzalishwa watoto wa 3 na kuiba waume za watu + HIV.

Wadada wengi wanaringa sana kuolewa kipindi wanapotakiwa kufanya hivyo.
 
Huyo ni mwanaume ila nashangaa kwa nn umeandika braza/sista ndo maana hamuolewi kwa hizi zarahu
Me ntajuaje kama ni mwanaume au mwanamke???kama unamjua wewe inatosha...halafu ni dharau na sio "zarahu" aseee mwanaume mwenye uandishi kama wako huo mbovu huwa hata sms yake sijibu,.maana ananipotezea muda,.
 
Ha haa kweli siwazingui ni kweli, labda Kama imetoka Kama hivyo ulisema mi sijui , ila ninachojua mimi ni kwamba hajawahi guswa na mwanaume
Background yake ya uschana unaijua kiundani? Au umemjua tu baada ya ww kuolewa kwao?
 
Back
Top Bottom