Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hujaeleweka mzeeYani ni kwamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaeleweka mzeeYani ni kwamba
Hujaeleweka mzee
Hapo kwenye vigezo ndio unapoanza kuwatoa povu kaka zako, wanaumia kishenzi kuambiwa hawana vigezoDuuuu,kama vigezo ninavyovitaka sijavipata siwezi olewa.
That's right. Au nini maoni yako? Nikikosa nijiue? Au nipate kichaaKwamba ukipata sawa ukikosa sawa
Ningekuwa sijaona ungefanyaje?Daahhh, na wewe, sema ulishaniona nina 27
Hahaha wanaume viumbe wabinafsi sana...Hapo kwenye vigezo ndio unapoanza kuwatoa povu kaka zako, wanaumia kishenzi kuambiwa hawana vigezo
Vigeza vya mwanaume.
huwa najiuliza mtu akifa na kuvuka upande wa pili je ataulizwa na muumba "kwanini hukuoa au kuolewa wakati unaishi duniani" [emoji1] [emoji1]
Malizia mkuu, wanaume wenye akili za kitoto wanaowaza uzuri tu na sio maisha.acha ubishi Unazungumzia sample ndogo ya wanaume waliojikatia tamaa uzeeni ndo wanaoa vibibi
Take it from me Kama mwanaume sisi hatuoi wanawake age imeenda vizee venyewe vinaoa vibinti yaan kuna miaka ikifika sisi kama wanaume hatukuoi
it doesn't matter wana akili gani maana hata hao matajiri ambao maybe kwa upande wako ndo wana akili za maisha wamepigana wamefika hapo walipo wanaoa kiwapendezacho machoni.Malizia mkuu, wanaume wenye akili za kitoto wanaowaza uzuri tu na sio maisha.
Mkuu, sema wewe unaoa watoto usisemee wanaume wote. Mi dada yangu ameolewa na 32, unafikiri huyo mwanaume hajaona wa 23, kila mwanaume na akili zake na kila couple unayoona wana yao yanayowasukuma kufunga ndoa mbali na age. Wanaume wa sampuli yako ni hatari kwa afya maana kesho nikizeeka itabidi uanze kuwatafuna wajukuu zetu.it doesn't matter wana akili gani maana hata hao matajiri ambao maybe kwa upande wako ndo wana akili za maisha wamepigana wamefika hapo walipo wanaoa kiwapendezacho machoni.
and yes tunaangalia uzur muonekano muhimu halafu vingine vinafuata "love at first sight " We mwenyewe unajua ukwel lakini unabisha outside of this continent everything is possible age doesn't matter tofauti na huku kwetu ambapo tunaanza kubadilika kidogo
Ukweli mchungu hatuoi wanawake umri umekwenda
mkuu haraka haraka tu ndio inaniponza, ukijua profile langu halisi wala hutauliza wala kusema sijui kuandika....ni basi tu haraka tu n aumakni unajua hiki kijiwe nakichukulia sehemu ya kuzugia so nakimbia huku naandika matokeo yake.......Daah! Mkuu una umri gani?
Yaani hujui kabisa kuandika vizuri!
alikuwa ameshazaa, huyo jamaa ana umri gani???Mkuu, sema wewe unaoa watoto usisemee wanaume wote. Mi dada yangu ameolewa na 32, unafikiri huyo mwanaume hajaona wa 23, kila mwanaume na akili zake na kila couple unayoona wana yao yanayowasukuma kufunga ndoa mbali na age. Wanaume wa sampuli yako ni hatari kwa afya maana kesho nikizeeka itabidi uanze kuwatafuna wajukuu zetu.
tulia wewe, mwanamke bila mwanaume hajakamilika,hakuna mwanamke ambaye hajawahi kuwa na ndoto ya kuolewa,tafuta mwanaume uenjoy maisha,utaishi upweke hadi lini?Kupanga na kuchagua indeed...
ni kwa vile culture yetu imejawa upuuzi ukifikisha 30 hujaolewa kama sio wewe basi mama yako ataanza kushukiwa na waja,vipi binti yako haolewi????
,nchi nyingine kuwa married,na ku remarry ni kitu cha kawaida..
hivyo wengine wanaolewa hata akifikisha 60,
sio sahihi kuolewa na mtu sio sahihi,
its sad wanatuona tusiolewa kuwa ni loosers,wakati sisi tunaona walioolewa na kucompromize their happiness ndio loosers
tulia wewe, mwanamke bila mwanaume hajakamilika,hakuna mwanamke ambaye hajawahi kuwa na ndoto ya kuolewa,tafuta mwanaume uenjoy maisha,utaishi upweke hadi lini?
hakuna mwanamke ambaye hajawahi kuwa na ndoto ya kuolewa, mwanamke bila mwanaume hajakamilika, tafuta mwanaume uenjoy maisha utaishi upweke hadi lini??Wanaume mlivyo hamnazo miaka hii, kuolewa imekuwa kama mkosi. Chanzo cha kuuana, kupata maradhi ya HIV, stress, magonjwa ya moyo nk. Mwanamke hata akiwa na 45 as long as atataka kuolewa ataolewa. Msisababishe watu wakalazimika kuolewa kwa wakaka wasiojielewa kisa miaka. Ndoa sio lelemama kusema nikimbilie kuolewa hili nisifike 30+ kabla sijaolewa hata kama si mtu sahihi. MAISHA NI KUPANGA NA KUCHAGUA.
umezalisha wangapi mkuu?Kwani ni lazima kuoa ? Ama kuolewa
Hii style ya maisha inatukwamisha sana mimi nazalosha tu swala la kuoa huwa sifikirii