Dada zetu, please usi-date na mwanaume anayevaa kofia kama hii. Kila mwanasiasa maarufu "alisomaga naye Galanosi"

Thomas Brown

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2025
Posts
344
Reaction score
856


Dada yangu ukikutana na mwanaume amevaa kofia kama hii, kaa naye mbali.

Watu wanaovaa kofia hizi, kila mwanasiasa maarufu alisoma naye shule moja, ukimkopesa pesa ndio imeisha hiyo, kama ni baba yako ujue una ndugu zako nje lakini hauwajui, wanapenda sana wanawake wajane, wanacheza sana draft, wakilewa wanaongea sana kingreza.

Ongezea na wewe sifa zao kama unazijua ili kuwasaidia hawa dada zetu.
 
Kwamba hapo umezungumzia wezi au? Huwezi ukamjaji mtu kwa kofia mkuu, Hizo kofia wanavaa sana wachaga and gues what they are hard working na hawana hata hizo sifa unazotaja
Utakuwa unapenda sana wajane na unacheza sana draft mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…