Dada zetu, please usi-date na mwanaume anayevaa kofia kama hii. Kila mwanasiasa maarufu "alisomaga naye Galanosi"

Hahahaha kwahiyo wanagalanos ndio tunaswaga hizo sio? Mwalimu Msocha hajatufunza swaga hizo japo ndio tulikuwa tunazitumia kutongozea mademu wa Majani Mapana, Nguvumali na kisosora?
 
Nilikuwa navaa hizo kofia, niliacha baada ya kuona siletewi tena kesi za kusuruhisha Ndoa.

Nahisi Vijana wakaanza kuhisi, huenda nami ni Mzee Kijana kama wao bure πŸ˜œπŸ™Œ
 

Rafiki yangu Gambo anavaa, na Cousin wa Pablo Escobar alikuwa anivaa miaka hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…