Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalipaga Madeni?? Una watoto wangapi nje ya ndoa??ninazo kama 4 pure leather bila kuvaa nahisi nmemis kitu
Huyo rafiki yako wala hakoseiMimi ninayo Moja kama hiyo pichani , kila nikivaa rafiki yangu ananiita kiutani Tapeli kisa hiyo kofia.
Zina vibe Fulani hivi za kiujasiri , mimi nikivaa najiona kama Borntown Mafia fulani haswa nikivalia na codes zake matata.ninazo kama 4 pure leather bila kuvaa nahisi nmemis kitu
Unapenda sana wanawake wajane??Zina vibe Fulani hivi za kiujasiri , mimi nikivaa najiona kama Borntown Mafia fulani haswa nikivalia na codes zake matata.
Anakosea sana , sababu hadi kanzu na baraghashia wahuni wameingilia sasa wanavaa hapo hatuwezi kuita kanzu ni uhuni kisa wahuni waliojutokeza kuvaa.Huyo rafiki yako wala hakosei
Wahuni wanaovaa kanzu ni 20% tuAnakosea sana , sababu hadi kanzu na baraghashia wahuni wameingilia sasa wanavaa hapo hatuwezi kuita kanzu ni uhuni kisa wahuni waliojutokeza kuvaa.
Hahahaha kwahiyo wanagalanos ndio tunaswaga hizo sio? Mwalimu Msocha hajatufunza swaga hizo japo ndio tulikuwa tunazitumia kutongozea mademu wa Majani Mapana, Nguvumali na kisosora?View attachment 3271397
Dada yangu ukikutana na mwanaume amevaa kofia kama hii, kaa naye mbali.
Watu wanaovaa kofia hizi, kila mwanasiasa maarufu alisoma naye shule moja, ukimkopesa pesa ndio imeisha hiyo, kama ni baba yako ujue una ndugu zako nje lakini hauwajui, wanapenda sana wanawake wajane, wanacheza sana draft, wakilewa wanaongea sana kingreza.
Ongezea na wewe sifa zao kama unazijua ili kuwasaidia hawa dada zetu.
Hamna ,sipendi mademu na sijaoa , bado Mwanafunzi Mimi kitoto Cha buku mbili sasa niache mtu mbichi age yangu nikachue wajame ? Maarasssss!!!Unapenda sana wanawake wajane??
Na kuhusu hizo kofia tukirudi kwenye asili yao Ulaya sana sana naona za Wazee ndio wanapenda.Wahuni wanaovaa kanzu ni 20% tu
Wazee wa hovyo wa Ulaya ndio wanaovaa kofia kama hizoNa kuhusu hizo kofia tukirudi kwenye asili yao Ulaya sana sana naona za Wazee ndio wanapenda.
Sijui kucheza draft & mimi sihusudu masuala ya kuishi na mwanamke.Utakuwa unapenda sana wajane na unacheza sana draft mkuu..
Nimesema suruali.Unasemea suruali ya kitenge,😂?
UnadanganyaSijui kucheza draft & mimi sihusudu masuala ya kuishi na mwanamke.
View attachment 3271397
Dada yangu ukikutana na mwanaume amevaa kofia kama hii, kaa naye mbali.
Watu wanaovaa kofia hizi, kila mwanasiasa maarufu alisoma naye shule moja, ukimkopesa pesa ndio imeisha hiyo, kama ni baba yako ujue una ndugu zako nje lakini hauwajui, wanapenda sana wanawake wajane, wanacheza sana draft, wakilewa wanaongea sana kingreza.
Ongezea na wewe sifa zao kama unazijua ili kuwasaidia hawa dada zetu.