kinyaukitoto
Senior Member
- Oct 13, 2019
- 103
- 192
- Thread starter
-
- #81
Unanisingizia ndugu,ππ€£π€£π€£π€£π€£
Ukute ndio wale kutwa kutolea stress zao humu kwa kutukana watu. Sasa anaionea aibu.
Huyu lazima atakuwa Lucas mwashambwa au Erythro
Hapana ndugu
Ueleweke nije kuchukua jiko sasaHongera.
We kweli maviπ, mi Niko nanjilinjii- Elon ana waza ata Jenga vipi Marsπ€£Uwe mara ngapi mr ellon
Oya Mpaji Mungu unaitwa hukuMpaji Mungu huyuπ€£
Bachelor degree ni cheti mkuu,kama huja graduate ni form six uwe muwazi usaidiweMkuu mm ni mpambanaji hata shule na advance. Na vyuo nimejipambania,
Ila kuna muda unafakika unatamani upate jambo la kulipambania ndo changamoto inapokuja
Si ndio huyo wewe tajiriWe kweli maviπ, mi Niko nanjilinjii- Elon ana waza ata Jenga vipi Marsπ€£
Mkuu hata Kama ana njaa, ila sio ki hivyo.Kuna kazi sehemu; mtu wa kutafuta masoko ya mavazi anahitajika
Mshahara= 50,000 + 5% ya mauzo aliyoleta kwa mwezi
Huwa naku kubali Kaka, kula 5 πͺNaamini utafanikiwa ndugu yangu, japo kuna kaugumu kidogo lakini utafanikiwa, binafsi ni vile kazi zetu si rafiki sana sana kumshika mtu mkono lakini i'm swear kama mazingira ya kibarua changu yangekuwa rafiki ungeona private message yangu.
Lakini nakutakia kufanikiwa .
InshaaAllahUeleweke nije kuchukua jiko sasa
Cha mibangi mdogo wetu π€Si ndio huyo wewe tajiri
πππbora unatengeneza mazingira mapemaπππNdo mana mi naji itaga jobless, siku niki zidiwa nisi pigwe nyundoππ€
Hapo kwenye inshaalah ndio kikwazoInshaaAllah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] this is Jf bhanaaWasikudanganye ukafichua ID yako maarufu, unawajua wabongo wewe, watakusuta hadi ufe.
Kweli kabisa.Hapo kwenye inshaalah ndio kikwazo
Kama ataleta mauzo ya milioni 20 kwa mwezi, atapata mshahara wa Tsh. 1,050,000/=.Mkuu hata Kama ana njaa, ila sio ki hivyo.
πKuna chimbo la 150, ila kwa umri wa mtoa mada.- nime ona ni ku lose time tu.
Acha ujinga mkuu, serious hata wewe hayo mauzo ya milioni 20 unaweza toa wapi ???Kama ataleta mauzo ya milioni 20 kwa mwezi, atapata mshahara wa Tsh. 1,050,000/=.