Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Acha ujinga mkuu, serious hata wewe hayo mauzo ya milioni 20 unaweza toa wapi ???
πŸ‘‰ Don't just speak kisa uonekane una type type tu.
πŸ‘‰Nina ki start up, nime ki fund kwa jasho na damu- unadhani kushawishi watu mchezo ehhπŸ™„πŸ€’
Sekta binafsi lazima ufanye kazi na utoke jasho; sijui huko kwingine
 
Kuna mwamba wangu mmoja hv yeye huwa haamin ushaur wa mtu bas kuna siku alikuwa anakataka kaeneo mjin kati aweke biashara, akaenda kwa wazee wa manispaa akaongea nao wakamwambia hapa utalipa kwa mwez milion 3 jamaa akasema sio kes bas akajitokeza mzee mmoja akamwambia kijana hapa hutopaweza coz,gharama ni kubwa na mzunguko ni mdogo, jamaa akajibu kama nilivyokuwa maskin hamkunishaul saiv nimepata pesa washaur mnajitokeza, sitaki ushaur wenu, nini cha kujifunza mtoa mada, kwanza jifunze kujiamin na kujipa iman ila ukisema kila jambo utake msaada matokeo yake ndio haya kuobwa i d broo hakuna msaada hapa humu wote jobless, kama mi mwongo utanipa mrejesho
 
Nimekutumia 700,000 kwenye simu yako hope itakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…