Dah, nahisi dunia imenielemea, nishikeni mkono

Weka vyeti pembeni nenda na fani za ufundi, katika hiki kipindi ambacho unajaribu ku survive..
 
Angekuwa genta hata abadil i d yule bwana anajulikana kwa kujimwambafai na kufokafoka ila nyie wengine dah tunashindwa kuwaotea wewe nan
Pole sana,but siyo muhimu KWA sasa kuotea ilΓ  ni muhimu kunishika mkono ndogo wenu
 
Unawajua watu wa JF wewe? Hehee
Umeharibu kimtindo kukiri wazi una ID uliyoshindwa kuja nayo.
Nimefanya hvyo maana ,nilijua tu hata wale watu waliokaribu na mm KWA namna Moja au nyingine wasifungwe kunisaidia,nilitaka watu wote wawe huru Kwangu,Id yangu inamiaka Mingi wastani hvyo nimeshiriki kwenye mijadala mingi ambayo si busara kuweka utambulisho wazi kwa alimia mia
-Pia hata kesho niwe huru kushiriki kwenye mijadala mbalimbali pasina uoga
 
Naamini mkuu
 
Pole , Ila kaa mbali na wanawake Kwa kipindi cha miaka mitatu hadi utoboe 30 yrs hii itakuondolea mikosi na nuksi katika MAISHA yako.
Sawa napokea ushauri, nitafanyia kazi.
Hata hvyo sipogi sana interest na wanawake,pombe wala kilevi chochote situmii
Ingawa mahusiano tu ya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…