Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe tunakuheshimu na hauna hela!!Hapana ni mind relaxation Id ,naheshimiana na wengi humu
Usidhani tumesahau ID yako ya zamani bwana KidukuliloHapana ni mind relaxation Id ,naheshimiana na wengi humu
Umeniwahi!!🤣Mpaji Mungu huyu🤣
asipo weka wazi ID yake maarufu awezi kisaidika?Shida ya kuigiza maisha mtandaoni ukifikwa na ya kukufika unaionea aibu ID yako. Nikushauri weka wazi hiyo ID yako maarufu humu pengine itakuwa rahisi kwako kufikiwq kiwepesi, trust me
Ndugu mm nimepita katika mfumo rasmi wa Kusoma from o levels,advance ,na chuo kikuu lakini nilishindw kumalizia chuo kutokana na changamoto za ada ata hvyo nipo on time frame,Mbali na hayo yote una elimu gani ya vyuo vya ufundi?
🤣🤣🤣🤣🤣Ungekuja na id yako hiyo maarufu ungepata msaada haraka sanaa!!
Nilitaka niseme ni wewe[emoji125]Mpaji Mungu huyu[emoji1787]
Yupe ni mwana arsenal mwenzetu, so tuta msuportNi ngumu sana kwa huyo mdau kuweka ID yake halisi, unaweza kukuta ni hamis77 , alivyo mtu wa hovyo nani atamsaidia?
Kumbe una heshimu watu kisa Mali au wadhifa??Kumbe tunakuheshimu na hauna hela!!
Utasubiri sana mwanangu... Nishatoka hukoNilitaka niseme ni wewe[emoji125]
Kaka punguza ujuaji, mwache mwana aji tetee.Mkuu, rekebisha.
Wewe huna Bachelor Degree kwa sababu hujamaliza. Bila shaka utakuwa na elimu ya kidato cha 6.
Hahahaaa jamaa hajawahi kua serious. Na avatar yake ile sasa. Nikiiona tu nachekaUmeniwahi!!🤣
Unawajua watu wa JF wewe? HeheeTs is not big deal mkuu,maana content ya thread imejitosheleza😔
Dogo,Kaka punguza ujuaji, mwache mwana aji tetee.