ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Ww unadhani watu wana hama hama tu kiholela bila hakikisho kutoka pande zinazo pigana?Lakini kwa nini wasifate huwo ushauri waliopewa wa kuhamia Kusini mwa Gaza si ni jambo la kuhama tu unaacha wanaume watunishane vifua. Mm naona nao raia wanajitakia tu ww umeambiwa hili ni eneo la vita ondoka bado umeng'ng'ana kubaki unataka nn?