Dah! Netanyahu amesema kichapo kitaendelea hata kama Israel itabaki yenyewe

Dah! Netanyahu amesema kichapo kitaendelea hata kama Israel itabaki yenyewe

Israel anaupiga mwingi mpaka unamwagika,unajua ukicheka na haya magaidi ya dini Ile ya kishetani utavuna mabua,na ningeomba netanyahu awezeshe namna yoyote tuweze kuichangia Israel ili wazidi kuyakong'ota haya majinga ya kiislam
Mwarabu ili akuogope usicheke naye.
 
Lakini kwa nini wasifate huwo ushauri waliopewa wa kuhamia Kusini mwa Gaza si ni jambo la kuhama tu unaacha wanaume watunishane vifua. Mm naona nao raia wanajitakia tu ww umeambiwa hili ni eneo la vita ondoka bado umeng'ng'ana kubaki unataka nn?
Sio rahisi kama unavofikiri.

Na cha zaidi raia wengi wa palestina ni kama wamekua traumatized sana na hii migogoro kiasi cha kwamba they are working dead
 
Mwaka 2005 rasmi Israel alijitoa Gaza na kwaachia Hamasi wajutawale.

Pili izo ambulance badala zitumike kusafirishia wagonjwa zinatumika na Magaidi kuhamishia siraha na kukimbia pale kibano kinapozidi. Israel inajitahid sana kupunguza casualty kwa raia wasio na hatia lakini Hamas wanawazuia raia wasihamie kusini mwa Gaza.

Kuna clip jana nimeiona raia wanakimbia kutoka kwny hiyo hospital ya Shifa lakini hamasi wakawazui na kuwarudisha ndani. Sasa hapo mbaya ni nani huyu anayekuambia uondoke eneo la hatari au yule anayekulazimisha usiondoke?
Leta ushahidi wa Hamas kutumia Ambulance kusafirisha silaha.

Sasa kama Hamas ana tumia Ambulance mbona Israel ilipo fanya shambulizi dhidi ya hizo Ambulance mbona mbona maiti za watoto na madaktari ndo zilikuwa zime tanda badala ya hizo silaha?

Yaani hiyo Intelegensia ya Israel inayo tambua hamas kujificha kwenye Ambulance mbona imeshindwa kutambua mateka walipo mpaka sasa hivi?

Acheni visingizio kama vita imewashinda warudi nyumbani.
 
Narudia tena hayupo
Kumbe hapa nabishana na mtu mwenye uharo kichwani.
Sasa kama hayupo mwenye uwezo wa kumfunga jera na hayo mashitaka ya ufisadi aliyoko mahakamani alimfungulia baba yako?
 
Israel anaupiga mwingi mpaka unamwagika,unajua ukicheka na haya magaidi ya dini Ile ya kishetani utavuna mabua,na ningeomba netanyahu awezeshe namna yoyote tuweze kuichangia Israel ili wazidi kuyakong'ota haya majinga ya kiislam
Hayo majinga ya kiislam ndo yanawapiga miti dada na mabinti hivyo unatakiwa kuwaheshimu.
 
Warabu ni mbwa koko,,yanabweka hayang'ati.

Sio waarabu wote wanaokubaliana na ugaidi wa Hamas akisaidiwa na Iran.
Mfano Saudia anawaza Israeli akimalizwa pale Middle East adui mkubwa wa Iran aliebaki atakua yeye so ni bora Israeli awepo ili aendelee kumpunguza makali Iran.
 
Leta ushahidi wa Hamas kutumia Ambulance kusafirisha silaha.

Sasa kama Hamas ana tumia Ambulance mbona Israel ilipo fanya shambulizi dhidi ya hizo Ambulance mbona mbona maiti za watoto na madaktari ndo zilikuwa zime tanda badala ya hizo silaha?

Yaani hiyo Intelegensia ya Israel inayo tambua hamas kujificha kwenye Ambulance mbona imeshindwa kutambua mateka walipo mpaka sasa hivi?

Acheni visingizio kama vita imewashinda warudi nyumbani.
Hakuna anayerudi nyumbani Gaza lazima isafishwe mji badala watu waishi kwa amani na utulivu kufanya maendeleo umegeuka uwanja wa kufanyia ugaidi ila akili za waarabu wanazijua wenyewe.

Ushahidi upo kwenye page ya IDF mawasiliano kati ya magaidi wakiwasiliana mmoja anamwambia vipi tukuletee ambulance tukutoe huko naye anajibu msilete, mbn hilo swala dogo ninao uwezo wa kupata ambulance yyt nitayopenda.

Sasa sijui unabisha nn, ushahidi kila siku unapostiwa na IDF ila kwa sababu mmelishwa chuki hamuoni!
 
Back
Top Bottom