Dah! Netanyahu amesema kichapo kitaendelea hata kama Israel itabaki yenyewe

Dah! Netanyahu amesema kichapo kitaendelea hata kama Israel itabaki yenyewe

Dunia imejaa wanafiki wengi sana...mtu kawaambia wenzake waanzishe vita yeye yupo Qatar anabwabwaja tu..
Wavaa kobazi akili yao kijiko hakijai,wakipewa biriani na tende wamelainika.
wanaambiwa mkiamka mkamtungue kafiri.
Alwah akubaru wanajibu,kesho bomu huku na kule.
Wakijibiwa wanalia kusingizia watoto wanauliwa na wamama.
 
Guys both of you please stop this madness you guys went too far put aside your religion emotional hii vita sio vita vya dini ni people are fighting for their own interests (ardhi mipaka Lakini kubwa zaid ambalo maskini haliongelewi na watu Gaza strip Kuna natural gas baharini estimate 28.5 billion cubic meter (BCM) hivyo vyote vinawatoa mate mabwanyenye ya Hamas yaliyopo Qatar na mabepari ya Israel na State) Ila nyinyi mnaona wanapiga Islamic vs Judaism & Christianity daa Kuna Safari ndefu ya kuelewa Mambo kiundani
Hivi ni vita vya kidini
Kafiri ndio anajua hivi sio vita vya kidini
 
History will remember Nyau as a war criminal
IMG_20231111_085027.jpg
 
Huku Israel ikiendelea kushambulia hospitali ambapo magaidi ya HAMAS yameweka kama makao makuu yao, waziri mkuu amesema hatositisha mashambulizi hata kama dunia yote itakua dhidi ya Israel, yaani hata maandamano yafanywe mpaka wapi hataocha mpaka HAMAS wauawe wote humo.

Israel imesema iko tayari kuhamisha watoto waliomo humo na yeyote ambaye yuko tayari kutoka ila kipigo kitaendelea.
Mataifa ya waarabu yanaongea ongea tu, ilhali humu JF wafuasi wa ile dini wanatukana balaa, tusubiri mwisho wake.

View attachment 2811138
======================


Israel's prime minister pushed back Saturday against calls from Western allies to do more to protect Palestinian civilians, as troops encircled Gaza's largest hospital where doctors said five patients died — including a premature baby — after the last generator ran out of fuel.

A cease-fire would be possible only if all 239 hostages held by militants in Gaza are released, Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said in a televised address.

The Israeli leader also insisted that after the war, now entering its sixth week, Gaza would be demilitarized and Israel would retain security control there. Asked what he meant by security control, Netanyahu said Israeli forces must be able to enter Gaza freely to hunt down militants.

He also rejected the idea that the Palestinian Authority, which currently administers autonomous areas in the Israeli-occupied West Bank, would at some stage control Gaza. Both positions run counter to post-war scenarios floated by Israel's closest ally, the United States. Secretary of State Antony Blinken has said the U.S. opposes an Israeli reoccupation of Gaza and envisions a unified Palestinian government in both Gaza and the West Bank at some stage as a step toward Palestinian statehood.

For now, Netanyahu said, "the war against (Hamas) is advancing with full force, and it has one goal, to win. There is no alternative to victory."
Wewe hujitambui, unachokishadidia hujui mwisho wake ni nini
 
Huku Israel ikiendelea kushambulia hospitali ambapo magaidi ya HAMAS yameweka kama makao makuu yao, waziri mkuu amesema hatositisha mashambulizi hata kama dunia yote itakua dhidi ya Israel, yaani hata maandamano yafanywe mpaka wapi hataocha mpaka HAMAS wauawe wote humo.

Israel imesema iko tayari kuhamisha watoto waliomo humo na yeyote ambaye yuko tayari kutoka ila kipigo kitaendelea.
Mataifa ya waarabu yanaongea ongea tu, ilhali humu JF wafuasi wa ile dini wanatukana balaa, tusubiri mwisho wake.

View attachment 2811138
======================


Israel's prime minister pushed back Saturday against calls from Western allies to do more to protect Palestinian civilians, as troops encircled Gaza's largest hospital where doctors said five patients died — including a premature baby — after the last generator ran out of fuel.

A cease-fire would be possible only if all 239 hostages held by militants in Gaza are released, Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said in a televised address.

The Israeli leader also insisted that after the war, now entering its sixth week, Gaza would be demilitarized and Israel would retain security control there. Asked what he meant by security control, Netanyahu said Israeli forces must be able to enter Gaza freely to hunt down militants.

He also rejected the idea that the Palestinian Authority, which currently administers autonomous areas in the Israeli-occupied West Bank, would at some stage control Gaza. Both positions run counter to post-war scenarios floated by Israel's closest ally, the United States. Secretary of State Antony Blinken has said the U.S. opposes an Israeli reoccupation of Gaza and envisions a unified Palestinian government in both Gaza and the West Bank at some stage as a step toward Palestinian statehood.

For now, Netanyahu said, "the war against (Hamas) is advancing with full force, and it has one goal, to win. There is no alternative to victory."
1699778543410.png
 
Mass rallies for Palestine bring out millions across the globe.

Across the world, millions of people are in the streets calling for a free Palestine—demanding an immediate ceasefire, an end to US aid for Israel, and an end to Israeli violence against the Palestinian people. On Saturday, November 4, 300,000 people rallied and marched in Washington, D.C. in the largest pro-Palestine rally ever in the United States. The demonstration was part of an international day of action for Palestine, and included a rally of two million people in Jakarta, Indonesia. Last week, half a million people joined a pro-Palestine demonstration in London, marking the largest protest for Palestine in the history of the UK.

Yahoo
 
Back
Top Bottom