Dah! Netanyahu amesema kichapo kitaendelea hata kama Israel itabaki yenyewe

Dah! Netanyahu amesema kichapo kitaendelea hata kama Israel itabaki yenyewe

Huku Israel ikiendelea kushambulia hospitali ambapo magaidi ya HAMAS yameweka kama makao makuu yao, waziri mkuu amesema hatositisha mashambulizi hata kama dunia yote itakua dhidi ya Israel, yaani hata maandamano yafanywe mpaka wapi hataocha mpaka HAMAS wauawe wote humo.

Israel imesema iko tayari kuhamisha watoto waliomo humo na yeyote ambaye yuko tayari kutoka ila kipigo kitaendelea.
Mataifa ya waarabu yanaongea ongea tu, ilhali humu JF wafuasi wa ile dini wanatukana balaa, tusubiri mwisho wake.

View attachment 2811138
======================


Israel's prime minister pushed back Saturday against calls from Western allies to do more to protect Palestinian civilians, as troops encircled Gaza's largest hospital where doctors said five patients died — including a premature baby — after the last generator ran out of fuel.

A cease-fire would be possible only if all 239 hostages held by militants in Gaza are released, Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said in a televised address.

The Israeli leader also insisted that after the war, now entering its sixth week, Gaza would be demilitarized and Israel would retain security control there. Asked what he meant by security control, Netanyahu said Israeli forces must be able to enter Gaza freely to hunt down militants.

He also rejected the idea that the Palestinian Authority, which currently administers autonomous areas in the Israeli-occupied West Bank, would at some stage control Gaza. Both positions run counter to post-war scenarios floated by Israel's closest ally, the United States. Secretary of State Antony Blinken has said the U.S. opposes an Israeli reoccupation of Gaza and envisions a unified Palestinian government in both Gaza and the West Bank at some stage as a step toward Palestinian statehood.

For now, Netanyahu said, "the war against (Hamas) is advancing with full force, and it has one goal, to win. There is no alternative to victory."
Waarabu wote dunian wanashindwa kwenda kuwasaidia magaidi wa hamasa mpk Israel anakaribia kuitwaa gaza yote wamebaki kupiga kelele tu mitandaoni hii ni aibu
 
Mbona aliipa jeuri Ukraine na sasa hivi ameikimbia na kuhamia kwa Israel?
Marekani ni superpower halisi anao uwezo kushiriki vita kuitetea Ukraine, Israel na Taiwan kwa wakati mmoja. Hata hiyo Urusi inaujua msaada wa Marekani.

Sio hiyo Urusi ambayo kisa inapigana na jirani ikashindwa kuitetea Armenia kwenye vita yake na Azerbaijan. Mwisho wa siku Armenia imenyoosha mikono kwa mgogoro wa zaidi ya miaka 30
 
Israel Ikibaki yenyewe hakuna kitu wataweza kufanya, hawana uwezo wa kupigana hata na mungiki wakibaki wenyewe.

Mabwana zao Marekani na Ulaya wakiacha kuwapa silaha na misaada ya kifedha, hakuna kitu tena.

Zionists wana kibri sana, na chuki mbaya sana dhidi ya Uisilamu, sasa anajionesha kwamba anaweza alone bila msaada, wakati tayari ameshasaidiwa na marekani.
 
Marekani ni superpower halisi anao uwezo kushiriki vita kuitetea Ukraine, Israel na Taiwan kwa wakati mmoja. Hata hiyo Urusi inaujua msaada wa Marekani.

Sio hiyo Urusi ambayo kisa inapigana na jirani ikashindwa kuitetea Armenia kwenye vita yake na Azerbaijan. Mwisho wa siku Armenia imenyoosha mikono kwa mgogoro wa zaidi ya miaka 30
Haaa mbona sasa hivi Zere yupo analia lia na kulalamika kuwa sasa hivi Marekani imepunguza misaada na kuipeleka Israel?

Kuhusu Armenia na Azebaijan hata mwaka 2019 Urusi hakuingilia kati vita hiyo pamoja na kuwa hakuwa vitani,kwa sababu Urusi kwa sasa ana maslahi zaidi ya mara 3 nchini Azebaijan kuliko Armenia.

Alafu mbona Urusi kaweza kifurusha Africa Magharibi Ufaransa wakati huu ambao yuko vitani?😀😀😀😀
 
Ulumbuke Israel wana ule uchawi( nuclear) nchi za kiarabu mkimvamia anawalipua, inashangaza siku hizi inatembea na kibeg kidogo ambacho anakuwa nacho mlinzi wake, inawezekana kina remote ya kubonyeza kitufe Cha nyuklia.
Nyuklia hata Pakistan wanazo!
 
Hana hiyo jeuri ya kupigana vita bila ungaji mkono kutoka kwa wamagharibi.

Netanyau vita ikiisha tu anaenda jera ndio maana anajaribu kurefusha ili kusogeza siku za kwenda jera mbele..
Kajifunze kwanza kuandika kabla ya kuunga mkono ugaidi. Ndio shida ya kusomesha watoto madrasa na kuacha elimu inayoweza kuwasaidia wakiwa hapa duniani. Bure kabisa.
 
Kajifunze kwanza kuandika kabla ya kuunga mkono ugaidi. Ndio shida ya kusomesha watoto madrasa na kuacha elimu inayoweza kuwasaidia wakiwa hapa duniani. Bure kabisa.
Ni kweli kabisa sijui kuandika kwa sababu kipindi ww unaenda shule kujifunza kuandika ,mm nilikuwa nashinda na mama yako kwenye geto lenu mlilo kuwa mmepanga nampelekea moto.
 
Israel Ikibaki yenyewe hakuna kitu wataweza kufanya, hawana uwezo wa kupigana hata na mungiki wakibaki wenyewe.

Mabwana zao Marekani na Ulaya wakiacha kuwapa silaha na misaada ya kifedha, hakuna kitu tena.
Kwahiyo sahivi wewe na taifa lako ndio mnapigana gaza kwa niaba ya Israel au ni msaada gani umetoa au taifa lako kutoa kwao🤣🤣🤣
 
Kama wanavyotoa sasa et ostaz🤣🤣🤣🤣🤣
Sa vipi we lini utaingia Uislam dini ya haki wenzako wakristo wananza kuingia wameona vipi watu wa Gaza wanamuogopa Mungu tu na wana sura.



View: https://youtu.be/zT4hhE1Rgk0?si=EoZqxN-A2OEGsebx

Afu unanikumbusha ukiwaita Panya Hamasi wakati wanateka Mageneral na Ma Brigadier vipi hapo?
Je wananchi wa Israel wakisikia tu sound siren wanakimbia wote kwenye ma shelter pamoja Natanyahu, hao tuwaite Panya wa mapanya au 😆


Lana inanza mfata America leo hi bada ya week iliopita chemica plant kuripuka na kuna godaoun lakuweka silaha pia liliripuka na leo hi Los Angeles 👋


View: https://youtu.be/3bCF3WTF9Ho?si=JokPN3MGiYubWKu7
 
Sa vipi we lini utaingia Uislam dini ya haki wenzako wakristo wananza kuingia wameona vipi watu wa Gaza wanamuogopa Mungu tu na wana sura.



View: https://youtu.be/zT4hhE1Rgk0?si=EoZqxN-A2OEGsebx

Afu unanikumbusha ukiwaita Panya Hamasi wakati wanateka Mageneral na Ma Brigadier vipi hapo?
Je wananchi wa Israel wakisikia tu sound siren wanakimbia wote kwenye ma shelter pamoja Natanyahu, hao tuwaite Panya wa mapanya au 😆

Nikome kabisa ostaz, mimi sio mlala watoto na wanawake wazee kama mtume wenu mohammad🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom