Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Ujakosea mkuuHuwa ni kitendo cha sekunde tatu tu basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujakosea mkuuHuwa ni kitendo cha sekunde tatu tu basi
Shida simu inateleza haikuwa na kava kwahiyo ata aliipo ichukua sikuhis chochoteyashawahi nikuta style yao hiyo hyo,nilishangaa tu mtu ananiambia Braza mbona umenkanyaga
akawa kanshka mikono size ya misuli anantksa kwa nguvu huku anaongea madai kwa uchungu brazaaaa kwaniniii umenkanyagaaa lakiniiiiii...
ule mtikisiko ukawa unanshangaza,nashukuuru simu nilipoiweka ilikua tait kidogo kwhyo ukiichomoa lazima nitahisi tu kuna kitu kinatoka, kweli nikahisi hivyo kugeuka jamaa akaniambia BRAZA CHUKUA SIMU YAKO acha noma nisamehe...
nikamfata nikamdaka yeye,pale pale chap chap akanishikisha 20,000 AKANIAMBIA NISAMEHE BRAZA,nikaona isiwe kesi 20 linantosha,nikamzaba tu kofi nikamwambia SEPAAAA....
ila hiyo style kama ni muoga oga na ndio mara yako ya kwanza kukutana na watoto wa mjini SIMU wanaichukua.
Sawa mimi wakuja shida inakuuma niniWa kuja huyo anakataa tu lkn pale mpaka wakufanyie hvowalishakutrack kitambo
🤣🤣🤣🤣 Pole ila nimecheka samahani2015 nilipigwa HTC yangu mpyaa pale kariakoo round about kwa staili hiyo hiyo, nlikua naelekea karume...Umenitonesha kidonda mkuu.
Sawa mimi mshamba wewe ujuaji wako na ujanja wako umekufikishs wapUyu mshamba tu npo k/koo robo karne sasa amn kima amewahi nsogelea
Amna,, unaweza ukawa mjanja wa town na wakakuliza hadi unachanganyikiwa😃😃😃Wa kuja huyo anakataa tu lkn pale mpaka wakufanyie hvowalishakutrack kitambo
Nahisi hajawah kuibiwa huyo ndomana anasema wakuja...haelewi maumivu yakeSawa mimi wakuja shida inakuuma nini
Aisee sijui labda nyie!!!!Amna,, unaweza ukawa mjanja wa town na wakakuliza hadi unachanganyikiwa😃😃😃
Wewe tembea tu kwa uangalifu rafiki yangu,,, utalizwa hutaamini kama ni weweAisee sijui labda nyie!!!!
Mkuu naijua vizuri Kariakoo tangu ile ya miaka ya 2000Mkuu kwenye kutapeliwa inaweza Ikawa ngumu ila nakushaur kariakoo atakama unajiamin vip usitoe hela nyingi mbele za watu sisi wenyewe wenyeji tunaliogopa ilo kariakoo kuna michezo mingi Sana ya pesa…nakushauri tu isije siku ukalia
Af mtu anakuja hapa anasema wakuja pumbavu zakeKutapeliwa sio ujinga ila ni kuzidiwa mbinu kidogo tu unajikuta ushalia [emoji1] Mimi sijawah kutapeliwa ila kwa biashara zangu nakutana na mapatel wakitaka kuniliza wengi Sana yan wengi Sana kwaiyo naonaga kutapeliwa kupo tu unaweza kuwa wa mjin ukazidiwa kete kidogo tu ukawa umeisha Kama Draft tu kete Moja inakumaliza [emoji28][emoji28][emoji28]
Ukifanya hivyo utazua farangati kumbuka waliokuzonga wako 4 au 5Acha upuuzi kijana yaani mtu anakukanyaga bila sababu unamshangaa badala ya kumzibua makofi au ngumi... Na bado unapapaswa hadi cm inaibwa hujitambui... Vijana wa sikuhiz hopeless useless na bado unakuja kutusimulia ujinga wako
Sura ngumu wapi mzee ujaingia KingMkuu naijua vizuri Kariakoo tangu ile ya miaka ya 2000
Sijawahi kuogopa kutembea na hela na huwa jamaa wanaishia kunikata jicho tu macho yakikutana wanaufyata
Ujue sometimes mwonekano unaweza kukubeba mie wengi huwa wanahisi ni mjeshi au komando kabisa
Hata hao jamaa wanaowafuataga kujifanya wanauza simu mie huwa hawanisogelei kabisa !
KagomqWale jamaa jinga sana aliyekupa simu unamshukuru na kumpa hela utadhani ni watu tofauti na aliyekuibia kumbe ni walewale, yaani wamejipanga kukusanya hela kwa njia hiyo ila uzuri hawachukui simu ya mtu, lkn book 5 au 10 lazima ikutoke.
Mmoja ni Mungu tu maana nilitembea umbali kama wa dakika 10 ndo nikajua nimepigwaDah ase sio poa watu wafanye kazi wizi sio kazi
Kweli uliamuqMmoja ni Mungu tu maana nilitembea umbali kama wa dakika 10 ndo nikajua nimepigwa
Nikarudi ile sehemu yule Teja bado yupo na kaishika nikamtoa
Mwingine tulimkaba tuliyemkanyaga hadi simu ikaletwa
Mtaa wa msimbazi pale enzi hizo jioni machinga wanajaa.Kweli uliamuq