Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Unajua kwanini wazee wetu waliishi umri mrefu na wa furaha? Ni kwa sababu mtazamo wao kimaisha ulikua tofauti na sisi. Waliishi maisha simple tu.
Mfano, pale kijana anapofikia umri wa mtu mzima, anapewa mke na ardhi ya kulima ili aweze kulisha familia yake.
Mke nae aji mikono mitupu, ndugu zake wanampa mali na baadhi ya vitu vya kuanzia maisha maisha mfano jiko na vyombo vingine vya jikoni.
Mke hajali mali za mwanaume wala hana agenda zake mfukoni. Lengo lake ni kutengeneza maisha yao yeye na mumewe.
Asubuhi wanaenda shambani, watalima pamoja. Mwanamke anashughulika na shughuli nyepesi mfano kupanda mbegu wakati mwanaume anawajibika na shughuli ngumu mfano kukata visiki.
Hakuna mwanamke alieingia kwenye ndoa mikono mitupu. Kila mwanamke aliingia kwenye ndoa na mindset ya kutengeneza maisha na mumewe kuanzia chini bila matarajio makubwa na presha kwa mumewe. Hakuna mwanaume alioa mwanamke liability.
Jambo zuri pia pamoja na mke kumsaidia mumewe kutengeneza familia bado hakumvunjia heshima vile vile alimuona kama kichwa na kiongozi wa familia. Ndio maana hata maisha ya wazee wetu yalikua marefu na ya furaha.
Lakini kwenye jamii yetu ya leo narrative imebadilika. Kuna upumbavu umepandikizwa vichwani mwa watu kwamba mwanamke anapokubali kuolewa au kuingia kwenye mahusiano anamfanyia favor mwanaume.
Leo hakuna mwanamke anaetaka kuanza na mwanaume kuanzia chini, mwanamke anaingia kwenye ndoa mikono mitupu akishapata access ya mali zako tu ilo ni bomu linalosubiri kulipuka.
Wanawake wa kisasa wapo smart kuliko wanaume linapokuja suala la ndoa. Wanaangalia future yao kwanza hawapelekeshwi na hisia. Wapo makini zaidi na kipi watakachonufaika kutoka kwa mwanaume.
Ukweli ni kwamba ndoa ni biashara na wanawake wanaujua huu ukweli ndio maana wanautumia kuwaendesha wanaume wajinga ambao hawajua ndoa ni nini.
Sheria ya ndoa, mahakama na jamii kwa ujumla imewarahisishia wanawake kazi katika kutimiza hii azma yao. Mchezo mzima umesukwa kumpendelea mwanamke..
Wanaume tumeishi kwenye ujinga kwa kipindi kirefu ni wakati wa kusema hapana. Tunatakiwa kuanza kuiangalia ndoa katika jicho la kibiashara kama wanawake wanavyofanya.
Angalia zaidi future unapotafuta mke, angalia utanufaika vipi kifedha kutoka kwake, angalia kwa namna gani anaweza kutoa financial support kwenye familia, ana ujuzi gani, anamiliki nini, anakuja kwenye ndoa na nini n.k
Mfano wewe ni mfanya biashara kuna binti mmoja hapo ofisini kwako ni machachali sana kwenye suala la mauzo output yake ni kubwa sana kwenye biashara zako. Chukua uyo weka ndani awe mkeo, mbinu na kismati chake kwenye mauzo ni ni muhimu sana kwa biashara zako.
Approach marriage with business mindset
Mfano, pale kijana anapofikia umri wa mtu mzima, anapewa mke na ardhi ya kulima ili aweze kulisha familia yake.
Mke nae aji mikono mitupu, ndugu zake wanampa mali na baadhi ya vitu vya kuanzia maisha maisha mfano jiko na vyombo vingine vya jikoni.
Mke hajali mali za mwanaume wala hana agenda zake mfukoni. Lengo lake ni kutengeneza maisha yao yeye na mumewe.
Asubuhi wanaenda shambani, watalima pamoja. Mwanamke anashughulika na shughuli nyepesi mfano kupanda mbegu wakati mwanaume anawajibika na shughuli ngumu mfano kukata visiki.
Hakuna mwanamke alieingia kwenye ndoa mikono mitupu. Kila mwanamke aliingia kwenye ndoa na mindset ya kutengeneza maisha na mumewe kuanzia chini bila matarajio makubwa na presha kwa mumewe. Hakuna mwanaume alioa mwanamke liability.
Jambo zuri pia pamoja na mke kumsaidia mumewe kutengeneza familia bado hakumvunjia heshima vile vile alimuona kama kichwa na kiongozi wa familia. Ndio maana hata maisha ya wazee wetu yalikua marefu na ya furaha.
Lakini kwenye jamii yetu ya leo narrative imebadilika. Kuna upumbavu umepandikizwa vichwani mwa watu kwamba mwanamke anapokubali kuolewa au kuingia kwenye mahusiano anamfanyia favor mwanaume.
Leo hakuna mwanamke anaetaka kuanza na mwanaume kuanzia chini, mwanamke anaingia kwenye ndoa mikono mitupu akishapata access ya mali zako tu ilo ni bomu linalosubiri kulipuka.
Wanawake wa kisasa wapo smart kuliko wanaume linapokuja suala la ndoa. Wanaangalia future yao kwanza hawapelekeshwi na hisia. Wapo makini zaidi na kipi watakachonufaika kutoka kwa mwanaume.
Ukweli ni kwamba ndoa ni biashara na wanawake wanaujua huu ukweli ndio maana wanautumia kuwaendesha wanaume wajinga ambao hawajua ndoa ni nini.
Sheria ya ndoa, mahakama na jamii kwa ujumla imewarahisishia wanawake kazi katika kutimiza hii azma yao. Mchezo mzima umesukwa kumpendelea mwanamke..
Wanaume tumeishi kwenye ujinga kwa kipindi kirefu ni wakati wa kusema hapana. Tunatakiwa kuanza kuiangalia ndoa katika jicho la kibiashara kama wanawake wanavyofanya.
Angalia zaidi future unapotafuta mke, angalia utanufaika vipi kifedha kutoka kwake, angalia kwa namna gani anaweza kutoa financial support kwenye familia, ana ujuzi gani, anamiliki nini, anakuja kwenye ndoa na nini n.k
Mfano wewe ni mfanya biashara kuna binti mmoja hapo ofisini kwako ni machachali sana kwenye suala la mauzo output yake ni kubwa sana kwenye biashara zako. Chukua uyo weka ndani awe mkeo, mbinu na kismati chake kwenye mauzo ni ni muhimu sana kwa biashara zako.
Approach marriage with business mindset