Daima iangalie ndoa katika mtazamo wa kibiashara

Daima iangalie ndoa katika mtazamo wa kibiashara

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Unajua kwanini wazee wetu waliishi umri mrefu na wa furaha? Ni kwa sababu mtazamo wao kimaisha ulikua tofauti na sisi. Waliishi maisha simple tu.

Mfano, pale kijana anapofikia umri wa mtu mzima, anapewa mke na ardhi ya kulima ili aweze kulisha familia yake.

Mke nae aji mikono mitupu, ndugu zake wanampa mali na baadhi ya vitu vya kuanzia maisha maisha mfano jiko na vyombo vingine vya jikoni.

Mke hajali mali za mwanaume wala hana agenda zake mfukoni. Lengo lake ni kutengeneza maisha yao yeye na mumewe.

Asubuhi wanaenda shambani, watalima pamoja. Mwanamke anashughulika na shughuli nyepesi mfano kupanda mbegu wakati mwanaume anawajibika na shughuli ngumu mfano kukata visiki.

Hakuna mwanamke alieingia kwenye ndoa mikono mitupu. Kila mwanamke aliingia kwenye ndoa na mindset ya kutengeneza maisha na mumewe kuanzia chini bila matarajio makubwa na presha kwa mumewe. Hakuna mwanaume alioa mwanamke liability.

Jambo zuri pia pamoja na mke kumsaidia mumewe kutengeneza familia bado hakumvunjia heshima vile vile alimuona kama kichwa na kiongozi wa familia. Ndio maana hata maisha ya wazee wetu yalikua marefu na ya furaha.

Lakini kwenye jamii yetu ya leo narrative imebadilika. Kuna upumbavu umepandikizwa vichwani mwa watu kwamba mwanamke anapokubali kuolewa au kuingia kwenye mahusiano anamfanyia favor mwanaume.

Leo hakuna mwanamke anaetaka kuanza na mwanaume kuanzia chini, mwanamke anaingia kwenye ndoa mikono mitupu akishapata access ya mali zako tu ilo ni bomu linalosubiri kulipuka.

Wanawake wa kisasa wapo smart kuliko wanaume linapokuja suala la ndoa. Wanaangalia future yao kwanza hawapelekeshwi na hisia. Wapo makini zaidi na kipi watakachonufaika kutoka kwa mwanaume.

Ukweli ni kwamba ndoa ni biashara na wanawake wanaujua huu ukweli ndio maana wanautumia kuwaendesha wanaume wajinga ambao hawajua ndoa ni nini.

Sheria ya ndoa, mahakama na jamii kwa ujumla imewarahisishia wanawake kazi katika kutimiza hii azma yao. Mchezo mzima umesukwa kumpendelea mwanamke..

Wanaume tumeishi kwenye ujinga kwa kipindi kirefu ni wakati wa kusema hapana. Tunatakiwa kuanza kuiangalia ndoa katika jicho la kibiashara kama wanawake wanavyofanya.

Angalia zaidi future unapotafuta mke, angalia utanufaika vipi kifedha kutoka kwake, angalia kwa namna gani anaweza kutoa financial support kwenye familia, ana ujuzi gani, anamiliki nini, anakuja kwenye ndoa na nini n.k

Mfano wewe ni mfanya biashara kuna binti mmoja hapo ofisini kwako ni machachali sana kwenye suala la mauzo output yake ni kubwa sana kwenye biashara zako. Chukua uyo weka ndani awe mkeo, mbinu na kismati chake kwenye mauzo ni ni muhimu sana kwa biashara zako.

Approach marriage with business mindset
 
Utaratibu mzur naona kila mtu awe kwake,muwe mnakutana mnapohitajiana
Kwa akili ya mwanamke wa leo bado atataka ugharamie maisha yake mfano kodi, umeme, gas, maji n.k na bado kuna masimp watafanya ivyo. Kwaiyo tunarudi palepale kwenye kuchagua partner wanawake wengi wapo smart zaidi ya wanaume
 
Huu ni ukweli ambao watu wanaupinga.
Mwanamke ni supporter Sio Main provider
Unatakiwa kuwa na mwanamke ambae ni supporter wakati mgumu

Unatakiwa kuwa na mwanamke ambae ana add value kwenye Maisha yako..

Binafsi nyumbani kugumu I belive in me so siwezi kudate na msichana masikini Never never never
 
Unajua kwanini wazee wetu waliishi umri mrefu na wa furaha? Ni kwa sababu mtazamo wao kimaisha ulikua tofauti na sisi. Waliishi maisha simple tu.

Mfano, pale kijana anapofikia umri wa mtu mzima, anapewa mke na ardhi ya kulima ili aweze kulisha familia yake.

Mke nae aji mikono mitupu, ndugu zake wanampa mali na baadhi ya vitu vya kuanzia maisha maisha mfano jiko na vyombo vingine vya jikoni.

Mke hajali mali za mwanaume wala hana agenda zake mfukoni. Lengo lake ni kutengeneza maisha yao yeye na mumewe.

Asubuhi wanaenda shambani, watalima pamoja. Mwanamke anashughulika na shughuli nyepesi mfano kupanda mbegu wakati mwanaume anawajibika na shughuli ngumu mfano kukata visiki.

Hakuna mwanamke alieingia kwenye ndoa mikono mitupu. Kila mwanamke aliingia kwenye ndoa na mindset ya kutengeneza maisha na mumewe kuanzia chini bila matarajio makubwa na presha kwa mumewe. Hakuna mwanaume alioa mwanamke liability.

Jambo zuri pia pamoja na mke kumsaidia mumewe kutengeneza familia bado hakumvunjia heshima vile vile alimuona kama kichwa na kiongozi wa familia. Ndio maana hata maisha ya wazee wetu yalikua marefu na ya furaha.

Lakini kwenye jamii yetu ya leo narrative imebadilika. Kuna upumbavu umepandikizwa vichwani mwa watu kwamba mwanamke anapokubali kuolewa au kuingia kwenye mahusiano anamfanyia favor mwanaume.

Leo hakuna mwanamke anaetaka kuanza na mwanaume kuanzia chini, mwanamke anaingia kwenye ndoa mikono mitupu akishapata access ya mali zako tu ilo ni bomu linalosubiri kulipuka.

Wanawake wa kisasa wapo smart kuliko wanaume linapokuja suala la ndoa. Wanaangalia future yao kwanza hawapelekeshwi na hisia. Wapo makini zaidi na kipi watakachonufaika kutoka kwa mwanaume.

Ukweli ni kwamba ndoa ni biashara na wanawake wanaujua huu ukweli ndio maana wanautumia kuwaendesha wanaume wajinga ambao hawajua ndoa ni nini.

Sheria ya ndoa, mahakama na jamii kwa ujumla imewarahisishia wanawake kazi katika kutimiza hii azma yao. Mchezo mzima umesukwa kumpendelea mwanamke..

Wanaume tumeishi kwenye ujinga kwa kipindi kirefu ni wakati wa kusema hapana. Tunatakiwa kuanza kuiangalia ndoa katika jicho la kibiashara kama wanawake wanavyofanya.

Angalia zaidi future unapotafuta mke, angalia utanufaika vipi kifedha kutoka kwake, angalia kwa namna gani anaweza kutoa financial support kwenye familia, ana ujuzi gani, anamiliki nini, anakuja kwenye ndoa na nini n.k

Mfano wewe ni mfanya biashara kuna binti mmoja hapo ofisini kwako ni machachali sana kwenye suala la mauzo output yake ni kubwa sana kwenye biashara zako. Chukua uyo weka ndani awe mkeo, mbinu na kismati chake kwenye mauzo ni ni muhimu sana kwa biashara zako.

Approach marriage with business mindset
Naona kila siku kwenye mitandao ya kijamii zinaletwa mada zenye mrengo wa kuipiga vita taasisi ya ndoa. Kwa namna dunia inavyokwenda naona kama kuna hatari kubwa sana ya taasisi ya ndoa kusambaratika na kufa kabisa, hakutakuwa tena na Watu watakaooana katika jamii.
Kwa Sasa imeanza kujengeka hisia kwamba ndoa siyo kitu kizuri.
 
Huu ni ukweli ambao watu wanaupinga.
Mwanamke ni supporter Sio Main provider
Unatakiwa kuwa na mwanamke ambae ni supporter wakati mgumu

Unatakiwa kuwa na mwanamke ambae ana add value kwenye Maisha yako..

Binafsi nyumbani kugumu I belive in me so siwezi kudate na msichana masikini Never never never
Sire, ni muhimu sana kuzingatia mwanamke anaongeza thamani gani kwenye maisha yako
 
Naona kila siku kwenye mitandao ya kijamii zinaletwa mada zenye mrengo wa kuipiga vita taasisi ya ndoa. Kwa namna dunia inavyokwenda naona kama kuna hatari kubwa sana ya taasisi ya ndoa kusambaratika na kufa kabisa, hakutakuwa tena na Watu watakaooana katika jamii.
Kwa Sasa imeanza kujengeka hisia kwamba ndoa siyo kitu kizuri.
Tumelazimisha familia iwe liberal institute wakati kwa asili yake familia ni conservative institute. Matokeo yake ndio haya sasa.
 
Naona kila siku kwenye mitandao ya kijamii zinaletwa mada zenye mrengo wa kuipiga vita taasisi ya ndoa. Kwa namna dunia inavyokwenda naona kama kuna hatari kubwa sana ya taasisi ya ndoa kusambaratika na kufa kabisa, hakutakuwa tena na Watu watakaooana katika jamii.
Kwa Sasa imeanza kujengeka hisia kwamba ndoa siyo kitu kizuri.
Nikweli sio kitu kizuri...
 
Naona kila siku kwenye mitandao ya kijamii zinaletwa mada zenye mrengo wa kuipiga vita taasisi ya ndoa. Kwa namna dunia inavyokwenda naona kama kuna hatari kubwa sana ya taasisi ya ndoa kusambaratika na kufa kabisa, hakutakuwa tena na Watu watakaooana katika jamii.
Kwa Sasa imeanza kujengeka hisia kwamba ndoa siyo kitu kizuri.
Ila mleta mada hajaipinga nfoa bali anatukumbusha wanaume juu ya muelekeo wetu kwenye ndoa.

Nakubaliana na mtazamo wake kwa zaidi ya 90%. Ndoa ni biashara ya kuishi pamoja, lazima mwanaume azingatie uwezo wa uzalishaji wa mwanamke anayetaka kumuoa.

Kuoa mwanamke tegemezi ni chanzo kikuu cha kuvunjika ndoa nyingi. Ndoa nyingi zinavunjika sababu ya utegemezi wa mwanamke na wala sio usaliti kama wengi wanavyodhani.
 
Huu ni ukweli ambao watu wanaupinga.
Mwanamke ni supporter Sio Main provider
Unatakiwa kuwa na mwanamke ambae ni supporter wakati mgumu

Unatakiwa kuwa na mwanamke ambae ana add value kwenye Maisha yako..

Binafsi nyumbani kugumu I belive in me so siwezi kudate na msichana masikini Never never never
Masikini wa Roho au wa kipato?
 
Huu ni ukweli ambao watu wanaupinga.
Mwanamke ni supporter Sio Main provider
Unatakiwa kuwa na mwanamke ambae ni supporter wakati mgumu

Unatakiwa kuwa na mwanamke ambae ana add value kwenye Maisha yako..

Binafsi nyumbani kugumu I belive in me so siwezi kudate na msichana masikini Never never never
Issue sio awe mwanamke masikini unachotakiwa uangalie ana offer nini kwako bila kujali ni masikini au Ana hela anaweza akawa masikini but akawa ni nzuri kwenye kutoa ushauri na kumanage matumizi mazuri ya fedha hapo nyumbani na pia akawa mama mzuri wa watoto wako lakini pia kwa Huyo mwenye hela hiyo hela yake inaweza ikawa yenye manufaa kwake sio kwako zingatia hilo au unasemaje Natafuta Ajira
 
Wanaume wajinga wataendelea kutapeliwa Miaka yote kama hawatabadilika haiwezekani Uwe kwenye mahusiano ambayo unatumia muda,energy na pesa kwa Huyo mwanamke alafu unafaidika na mbususu tu ambayo raha mnapata wote hiyo ni akili au matope? Hayo huwezi kuita ni mahusiano Bali ni biashara ya mahusiano alafu walivyowajinga wanajisifu kabisa Nina pisi
 
Ukweli ni kwamba ndoa ni biashara na wanawake wanaujua huu ukweli ndio maana wanautumia kuwaendesha wanaume wajinga ambao hawajua n
Hili tumeshalisema kitambo sana humu.
2024_11_23_12_16_26-1.jpg
 
Back
Top Bottom