Daima iangalie ndoa katika mtazamo wa kibiashara

Daima iangalie ndoa katika mtazamo wa kibiashara

Mkuu, yote yasemwe, lakini hapa ndiyo shida ilipo. Zamani, Wazee wetu ndiyo walikuwa wanafanya favour kuwa na Mwanamke fulani. Na Waliwapanga Wanawake na Mwanamke aliandaliwa kiujumla, kumburudisha na kumuhudumia Mwanaume. Lakini zama hizi, Wanaume ndiyo tunapangwa foleni na kuonekana tunapewa favour kuwa na Mwanamke!!!

Sex, Mahusiano na ujenzi wa Familia inaonekana siyo hitaji la Mwanamke bali ni la Mwanaume pekee.

Tunahitaji kutambua na kuirudisha thamani na nafasi yetu Wanaume.
Ni kweli kabisa.
 
Wapo wamejaa tele.....wanawake washajua Wanaume wengi kwenye swala la Nyapu hawachomoki na ndio maana wanatudharau sana.
Starehe na nyapu ivyo vitu viwili vinakwamisha sana maendeleo ya vijana. Mimi baada ya kumaliza chuo niliangaika kwa miaka kadhaa kutafuta kazi hata hii user name yangu ilitokana na mapambano ya kutafuta ajira.

Baada ya kuona mambo hayaendi na miaka hainisubiri ilibidi nikae chini kujitathmini na moja ya vitu ambavyo niliviweka blacklist ni pombe na mademu. Nilikaa mwaka mzima bila kujiusisha na mahusiano bila kuonja hata chupa moja ya bia na niliona mabadiliko makubwa sana kwenye maendeleo yangu.

saiv bia nakunywa na mademu napiga kimtindo. Lakini nikiangalia nyuma nasema nilifanya maamuzi bora sana kujiweka pembeni kwenye suala la mahusiano ndio maana kila siku huwa nawasisitiza vijana ambao bado wanajitafuta usiwekeze wala kuweka commitment kwenye mahusiano
 
Starehe na nyapu ivyo vitu viwili vinakwamisha sana maendeleo ya vijana. Mimi baada ya kumaliza chuo niliangaika kwa miaka kadhaa kutafuta kazi hata hii user name yangu ilitokana na mapambano ya kutafuta ajira.

Baada ya kuona mambo hayaendi na miaka hainisubiri ilibidi nikae chini kujitathmini na moja ya vitu ambavyo niliviweka blacklist ni pombe na mademu. Nilikaa mwaka mzima bila kujiusisha na mahusiano bila kuonja hata chupa moja ya bia na niliona mabadiliko makubwa sana kwenye maendeleo yangu.

saiv bia nakunywa na mademu napiga kimtindo. Lakini nikiangalia nyuma nasema nilifanya maamuzi bora sana kujiweka pembeni kwenye suala la mahusiano ndio maana kila siku huwa nawasisitiza vijana ambao bado wanajitafuta usiwekeze wala kuweka commitment kwenye mahusiano
You are a Good Man.
 
Vijana wamekua pussy driven. Hizi nyimbo za bongofleva pia zinachangia sana huu uaribifu wa akili za vijana
Yaani hakuna nyimbo za kuhamasisha uchapa kazi, elimu wala kupambania maisha.

Waimbaji wote ni Pombe, Starehe, nyapu na wengine wameanza kuhamasisha na ushoga
 
Shida nyingine ya wanaume ni kuwaaminisha wanawake ni watamu
Stupid!
Mwanamke si mtamu, utamu ni hisia zetu wenyewe wakati wa kukojoa shahawa
Utamu tunausikia kabla hata ya kukojoa, wakati wa kukojoa ndo unazidi kiwango hadi tunatoa sauti.
 
Starehe na nyapu ivyo vitu viwili vinakwamisha sana maendeleo ya vijana. Mimi baada ya kumaliza chuo niliangaika kwa miaka kadhaa kutafuta kazi hata hii user name yangu ilitokana na mapambano ya kutafuta ajira.

Baada ya kuona mambo hayaendi na miaka hainisubiri ilibidi nikae chini kujitathmini na moja ya vitu ambavyo niliviweka blacklist ni pombe na mademu. Nilikaa mwaka mzima bila kujiusisha na mahusiano bila kuonja hata chupa moja ya bia na niliona mabadiliko makubwa sana kwenye maendeleo yangu.

saiv bia nakunywa na mademu napiga kimtindo. Lakini nikiangalia nyuma nasema nilifanya maamuzi bora sana kujiweka pembeni kwenye suala la mahusiano ndio maana kila siku huwa nawasisitiza vijana ambao bado wanajitafuta usiwekeze wala kuweka commitment kwenye mahusiano
Mimi nimejiweka mbali na hizo sumu mbili (pombe na wanawake) kwa miaka kadhaa tangu nikiwa chuo, kuanzia mwakani ni kuanza kuvuna pesa zangu nilizozificha hadi naitwa mbahili, pombe ndo sitakunywa ng'o, demu mwenyewe kuwa nae ni mmoja tu, nisipokuwa na mmoja basi nakuwa single, muda wa kuwa na mademu wawili sina, kwanza nitapoteza dira ya mission zangu.
 
Mimi nimejiweka mbali na hizo sumu mbili (pombe na wanawake) kwa miaka kadhaa tangu nikiwa chuo, kuanzia mwakani ni kuanza kuvuna pesa zangu nilizozificha hadi naitwa mbahili, pombe ndo sitakunywa ng'o, demu mwenyewe kuwa nae ni mmoja tu, nisipokuwa na mmoja basi nakuwa single, muda wa kuwa na mademu wawili sina, kwanza nitapoteza dira ya mission zangu.
Our women turn into things we don't known. The wise decision for any man, don't build your life and happiness around a woman.
 
Yaani hakuna nyimbo za kuhamasisha uchapa kazi, elimu wala kupambania maisha.

Waimbaji wote ni Pombe, Starehe, nyapu na wengine wameanza kuhamasisha na ushoga
Hali ni mbaya, sasa hivi hata ukiwa sebureni hauwezi kuweka station zinazoonesha hizi nyimbo za bongo fleva. Maana ni mashairi ya matusi na wanawake kucheza uchi tu.
 
Hali ni mbaya, sasa hivi hata ukiwa sebureni hauwezi kuweka station zinazoonesha hizi nyimbo za bongo fleva. Maana ni mashairi ya matusi na wanawake kucheza uchi tu.
Uswazi siku hizi kwenye sherekhe wanawake wanavua nguo uchi wa mnyama.
 
Back
Top Bottom