Daima iangalie ndoa katika mtazamo wa kibiashara

Daima iangalie ndoa katika mtazamo wa kibiashara

Mtaanza vizuri ila kadri miezi inavyozidi kukimbia mmoja lazima atamfuata mwenzie mazima... Hasa mwanamke lazima ahamie kwako pasi na wewe kupenda
Hata hasipoamia bado atataka uchangie au ulipe in full bill zake kama kodi, umeme, maji n.k wakati hamuishi pamoja na usipofanya ivyo ataona ni halali kukucheat au kusitisha mahusiano ili atafute mwingine wa kumlipia izo bill
 
Mpango wa Mungu katika famili ni mwanaume uwe main provider, mwanamke awe mlezi mkuu.

Hata katika kutoa adhabu: Adam alipewa adhabu ya kula kwa jasho na Eva kuzaa kwa uchungu - kila mmoja kulingana na majukumu yake ya msingi.

Unapotaka kuoa angalia mwanamke mwenye past safi (bikira), mwenye uwezo wa kuwa mlezi mzuri wa familia. Wajibu wetu kama wanaume ni kuhudumia familia, kuilinda na kuwa viongozi.

Mwanamke si provider, in fact dunia iliingia kwenye dhambi siku Adam alipomruhusu mwanamke kuchukua nafasi yake kama provider na kiongozi.

Tuishi humo.
mpango wa shetani ni kinyume cha mpango wa Mungu

Tangu siku hawa alipoleta tunda na adamu akala mambo yaligeuka na shetani anauendeleza mpango wake kwa ufanisi zaidi kupitia woman impowerment ambapo mwanamke anapewa kipaumaele katika mambo yote kuliko mwanaume na kumfanya mwanaume abaki kama mtumwa wa mwanamke
 
Kwa akili ya mwanamke wa leo bado atataka ugharamie maisha yake mfano kodi, umeme, gas, maji n.k na bado kuna masimp watafanya ivyo. Kwaiyo tunarudi palepale kwenye kuchagua partner wanawake wengi wapo smart zaidi ya wanaume
Tena mkuu yamkin ikawa heri saaana ukaoa familia ambayo mwanamke amelelewa ktk maadili, ndoa ya wazazi wake imesimama. Huyu hata hofu ya kuachana hawezi kuwa nayo sababu ataangalia wazazi wake, kama pesa kwao amewahi kuziona na zipo.

OGOPA SAAAANA kuoa familia masikini wa kizazi hiki, binti akishaona ela, mali n.k atatamani vile viwe vyake yeye, kama sex anajua atagongwa tu mwanaume yeyote ila yeye atataka amiliki mali aishi maisha kama wanayoishi wanawake wengine mitandaoni. Asichojua ni kwamba huko mitandaoni wanatamani sana kuwa ndani ya ndoa zao wawe na wanaume wanaowapenda na kuwajali kihisia.

Akina Shilole, Wema, Kajala, Uwoya n.k ni mifano hai, wote wanatembea na wanaume ambao ni wadogo zao kiumri.
 
Mpango wa Mungu katika familia ni mwanaume uwe main provider, mwanamke awe mlezi mkuu.

Hata katika kutoa adhabu: Adam alipewa adhabu ya kula kwa jasho na Eva kuzaa kwa uchungu - kila mmoja kulingana na majukumu yake ya msingi.

Unapotaka kuoa angalia mwanamke mwenye past safi (bikira), mwenye uwezo wa kuwa mlezi mzuri wa familia. Wajibu wetu kama wanaume ni kuhudumia familia, kuilinda na kuwa viongozi.

Mwanamke si provider, in fact dunia ilianguka (dhambini) siku Adam alipomruhusu mwanamke kuchukua nafasi yake kama provider na kiongozi.

Tuishi humo.
Wakati tunajua kiasili nafasi ya mwanaume ni ipi na ya mwanamke ni ipi vile vile tusisahau kuji-adjust kwenye mfumo kitaalamu.

Mfumo umesukwa kumkandamiza mwanaume kwaiyo hapo kwenye nature tusisahau kuapply na logic, because laws doesn't care about nature.
 
Ila mleta mada hajaipinga nfoa bali anatukumbusha wanaume juu ya muelekeo wetu kwenye ndoa.

Nakubaliana na mtazamo wake kwa zaidi ya 90%. Ndoa ni biashara ya kuishi pamoja, lazima mwanaume azingatie uwezo wa uzalishaji wa mwanamke anayetaka kumuoa.

Kuoa mwanamke tegemezi ni chanzo kikuu cha kuvunjika ndoa nyingi. Ndoa nyingi zinavunjika sababu ya utegemezi wa mwanamke na wala sio usaliti kama wengi wanavyodhani.
Na sio mwanamke anayefanya kazi ni tatizo?
 
Naona kila siku kwenye mitandao ya kijamii zinaletwa mada zenye mrengo wa kuipiga vita taasisi ya ndoa. Kwa namna dunia inavyokwenda naona kama kuna hatari kubwa sana ya taasisi ya ndoa kusambaratika na kufa kabisa, hakutakuwa tena na Watu watakaooana katika jamii.
Kwa Sasa imeanza kujengeka hisia kwamba ndoa siyo kitu kizuri.
Mkuu Umesoma mada na kuielewa?
 
Ila mleta mada hajaipinga nfoa bali anatukumbusha wanaume juu ya muelekeo wetu kwenye ndoa.

Nakubaliana na mtazamo wake kwa zaidi ya 90%. Ndoa ni biashara ya kuishi pamoja, lazima mwanaume azingatie uwezo wa uzalishaji wa mwanamke anayetaka kumuoa.

Kuoa mwanamke tegemezi ni chanzo kikuu cha kuvunjika ndoa nyingi. Ndoa nyingi zinavunjika sababu ya utegemezi wa mwanamke na wala sio usaliti kama wengi wanavyodhani.
Huyo jamaa hajamuelewa mleta mada, na kama amemuelewa basi amecomment ni kutafuta kick tu humu ndani. Mleta mada yupo sahihi kwa zaidi ya 90%.
 
Tena mkuu yamkin ikawa heri saaana ukaoa familia ambayo mwanamke amelelewa ktk maadili, ndoa ya wazazi wake imesimama. Huyu hata hofu ya kuachana hawezi kuwa nayo sababu ataangalia wazazi wake, kama pesa kwao amewahi kuziona na zipo.

OGOPA SAAAANA kuoa familia masikini wa kizazi hiki, binti akishaona ela, mali n.k atatamani vile viwe vyake yeye, kama sex anajua atagongwa tu mwanaume yeyote ila yeye atataka amiliki mali aishi maisha kama wanayoishi wanawake wengine mitandaoni. Asichojua ni kwamba huko mitandaoni wanatamani sana kuwa ndani ya ndoa zao wawe na wanaume wanaowapenda na kuwajali kihisia.

Akina Shilole, Wema, Kajala, Uwoya n.k ni mifano hai, wote wanatembea na wanaume ambao ni wadogo zao kiumri.
Katika hiki kozazi chetu ndoa imekua utapeli
 
Issue sio awe mwanamke masikini unachotakiwa uangalie ana offer nini kwako bila kujali ni masikini au Ana hela anaweza akawa masikini but akawa ni nzuri kwenye kutoa ushauri na kumanage matumizi mazuri ya fedha hapo nyumbani na pia akawa mama mzuri wa watoto wako lakini pia kwa Huyo mwenye hela hiyo hela yake inaweza ikawa yenye manufaa kwake sio kwako zingatia hilo au unasemaje Natafuta Ajira
Wakuu mnatema sana nondo.
 
mpango wa shetani ni kinyume cha mpango wa Mungu

Tangu siku hawa alipoleta tunda na adamu akala mambo yaligeuka na shetani anauendeleza mpango wake kwa ufanisi zaidi kupitia woman impowerment ambapo mwanamke anapewa kipaumaele katika mambo yote kuliko mwanaume na kumfanya mwanaume abaki kama mtumwa wa mwanamke
Upo sahihi mkuu, na kuna fumbo kubwa saaana la shetani/ibilisi kumtumia mwanamke. Kuna fumbo zito la mwanamke kutumika kama njia ya kuleta uharibifu duniani.
 
Mpango wa Mungu katika familia ni mwanaume uwe main provider, mwanamke awe mlezi mkuu.

Hata katika kutoa adhabu: Adam alipewa adhabu ya kula kwa jasho na Eva kuzaa kwa uchungu - kila mmoja kulingana na majukumu yake ya msingi.

Unapotaka kuoa angalia mwanamke mwenye past safi (bikira), mwenye uwezo wa kuwa mlezi mzuri wa familia. Wajibu wetu kama wanaume ni kuhudumia familia, kuilinda na kuwa viongozi.

Mwanamke si provider, in fact dunia ilianguka (dhambini) siku Adam alipomruhusu mwanamke kuchukua nafasi yake kama provider na kiongozi.

Tuishi humo.
Tutaongea weeee ila kubwa zaidi ni hili, ile siku ya Hawa alipokosea ndipo tulipoanguka wote.
 
Kuna mchaga huku mimi ananiwakia kinoma sina mpango wa kumuweka ndani.

toka mwanzo nilikua mwambia mambo ya kuwekana ndani mim sifagilii kabisa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom