Daima iangalie ndoa katika mtazamo wa kibiashara

Ni kweli kabisa, tunahoji mwanamke anaongeza value gani kwenye maisha ya mwanaume wengi wanafikiri tunawaza mchango wa kifedha tu. Value inaweza kuwa money management, amani, connection, kukusupport kwenye hustle zako mfano anajua unafanya biashara fulani akairusha status au insta kukutafutia wateja, kukutia moyo n.k
 

Wanadamu tunalipa gharama za kutoka kwenye makusudi ya Munhu
 
Uko sahihi
 
Sahihi.
Ni sababu mwanamke kamwe Hawezi kuwa mwanaume
Wakati wanapigania usawa hawakuwaza kwamba haki sawa inaenda na wajibu sawa. Hawakujui stress, presha na ugumu wa kuwa main character

Walienjoy haki sawa bila wajibu sawa kwa muda mrefu mpaka siku za karibuni walipoanza kukutana na uhalisia wa haki sawa/wajibu sawa, ndio wamekua wakali

ooh wanaume wanakwepa majukumu, saiv hakuna wanaume na blah blah kibao.

How comes mtu unataka kuhudumiwa na kupewa hela ya bure wakati umepewa access zote kutafuta hela kuanzia elimu, ajira, uhuru, kumiliki mali n.k
 
Asubuhi wanaenda shambani, watalima pamoja. Mwanamke anashughulika na shughuli nyepesi mfano kupanda mbegu wakati mwanaume anawajibika na shughuli ngumu mfano kukata visiki.
Hayo ndio maisha niliyokua nikiyaona home na kwa majirani. Kuna muda wanawake wakikomalia kuhudumiwa kwa kila kitu huwa hainiingii. Mama zetu walihusika lwnye uzalishaji mali wa familia. Leo ke akitoa buku jero yake kununua sukari utajua hujui
 
Beijing ilileta shida tupu
 
Ndoa sio kitu kizuri tena, kwani uongo?
 
Saiv mwanamke anataka nafasi ya mwanaume, privilege ya mwanamke lakini hataki kubeba wajibu wa mwanaume wala wa mwanamke, ni vulugu mechi
Yaani haya mambo yanachanganya acha tu mkuu. Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanawake nowadays kwenye ndoa wanataka kuchukua nafasi ya wanaume halafu waendelee kuonekana wanawake. Yanatukata sana haya hawajui tu
 
Wakati mwingine wasio tegemezi nao wanakuwa na viburi vya pesa... Heshima na utii unapungua... Ila wapo baadhi yao ambao wanajiona kama supporters kwa waume zao. Ndoa zao zinakula mema aisee
 
Mpango wa Mungu katika familia ni mwanaume uwe main provider, mwanamke awe mlezi mkuu.

Hata katika kutoa adhabu: Adam alipewa adhabu ya kula kwa jasho na Eva kuzaa kwa uchungu - kila mmoja kulingana na majukumu yake ya msingi.

Unapotaka kuoa angalia mwanamke mwenye past safi (bikira), mwenye uwezo wa kuwa mlezi mzuri wa familia. Wajibu wetu kama wanaume ni kuhudumia familia, kuilinda na kuwa viongozi.

Mwanamke si provider, in fact dunia ilianguka (dhambini) siku Adam alipomruhusu mwanamke kuchukua nafasi yake kama provider na kiongozi.

Tuishi humo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…