Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

Tunatofautiana sana kwenye kutafsir maana ya kupangua au hayo maneno ya kilatin ndio yamekufanya umuone ni Mwana sheria mzuri?
Una question kama Lumumba ni mwanasheria??? Kweli vilaza Tanzania mnazidi kuongezeka.
 
Hakuna kitu, mi nimesikia vijembe tu na lugha ngumu ngumu kama kawaida., no content ya maana
Sema hujaelewa kila mtu hapa anajifanya anajua sana sheria za Kenya yeye amekuja na hoja ya msingi kabisa.
 
Una question kama Lumumba ni mwanasheria??? Kweli vilaza Tanzania mnazidi kuongezeka.
Asante kipanga kwa kunielewa kikipanga! Mimi sijapinga kama PLO ni Mwanasheria nisome tena! Napinga kwamba amepangua hoja. Kama akili kama zako ndio unakua genius kweli mimi ni kilaza kwa sababu I am the opposite of you
 
Huyu professor PLO LUMUMBA, ametumia dakika 30 tu kulegeza msimamo wa NASA na imani ya kwamba wameibiwa kura,

Amefanya hivyo mahakamani ambako kulikuwa na pingamizi la ushindi wa Uhuru Kenyatta,

Swali langu hivi kweli umahiri au uimara wa wanasheria wetu unafikia wa wakenya?

Niwe mkweli kwa ninachokiamini, Tanzania kila jambo limechanganywa na siasa, ndo maana hata weledi Hakuna.

Kwa wanaojua lugha ya kiingereza pitia video hii. Pia uwe na kamusi pembeni maana English ya PLO Lumumba haijawahi acha vichwa salama.

Najua ufipa hawawezi kumkubali kisa anamkubali Magufuli


Kazi kubwa alikuwa anafanya Paul Muite, na ndo aliliongoza jopo la utetezi !
 
Wewe kilicho kufurahisha hapo ni hiyo lugha tu..

But content wise, hakuna chochote alichoongea Lumumba..

Na kwa siku hiyo aligeuka tu kama comedian kuwachekesha majaji na wanasheria kwenye ukumbi wa mahakama..

Kwa taarifa tu PLO Lumumba wala hayupo katika top 5 Competent Advocates wa Kenya..

No 1. Ni George Oraro (alimtetea Raila uchaguzi uliopita 2013)

2. Fredrick Ngatia (anamtetea Kenyatta kesi ya sasa)

3.Prof. Githu Muigai (AG wa sasa wa Kenya)

4.Ahmednasir Abdulahi (anamtetea Kenyatta kesi ya sasa)

5. James Orengo (anamtetea Raila kesi ya sasa)
Kuna kichwa kinaitwa Ottiende Amolo nadhani kipo vizuri.
 
Haujui tu mkuu, kwa watu waliotoa argument nzuri na wanaojua presentation mahakamani, jamaa hana presentation nzuri kusema ukweli. kuna watu wanaweza kuongea mahakamani halafu hata kama hawajaongea point wana convince mahakama kuwaunga mkono, huyo hajabarikiwa.

Ila wakili wa tume ya uchaguzi yule mkurya (mwita sijui ninii?, wakili wa Raila wote wale, na wakili wa nani sijui ana mdomo umepinda hivi, wale jamaa ni wanasheria wazuri sana, wana jua art ya kuongea kukomvinsi sana, wanajua kupangilia hoja kwa kuunga na sheria vizuri binafsi nimefurahi.

Nilitazama kidogo sana kwasababu nilikuwa sina muda lakini kwa muda kidogo sana niliotazama baadhi tu ya uendeshaji wa kesi, wameniongezea kitu kikubwa sana kwenye presentation of arguments mahakamani. Sio kwamba sijui kama wao, lakini wamenitia moyo since kila kitu huw akipi katika kiwango tofauti tofauti.
Hao wana posses kitu kinaitwa CORD OF HONOUR watu hawa ni wabaya

sana kwenye submission hapa tz kuna kichwa kinaitwa Loumu Ojare

nadhani kimezeeka those are sons of artisons wana karama hiyo
 
Inategemea wewe uko pande gani. Uhuru au Raila. Kama uko pande ya Raila, hukupendeswa na hiyo maneno ya Lumumba. Kama weye ni pande ya Uhuru, leo umesema kwamba tiyari kashinda. Gojea keso usikilise hii maneno tena.
 
Mimi niliona anajitahidi kutumia maneno ya kiingereza ambayo sio common lakina hakujibu hoja za petitioners. Actually Jubilee na IEBC lawyers hawakujibu hoja yoyote ya NASA zaidi ya kutaka kuwadicredit. Even the simple question ambayo mawakili watatu wa respondents walishindwa kujibu. In short in a nutshell baada ya kusikiliza zile proceedings ushindi wa Raila ni very qestionable. Especially baada ya kupata report ya "Read only access". Respondents hawakucomply orders nyingi. The question is why? Kuna anomalies nyingi zilitokea kwenye procedures za uchaguzi. Kuna fomu hazikusainiwa, hazikupigwa stamp, hazikuwa na watermark nk. Why? Hebu sikiliza hizi video mbili. na

Na maeneo hayo ndipo watakapochapwa hao IEBC na Jubilee

kama mahakama ipo huru kweli.
 
Hata kwa dawa ngosha hawezi kuelewa hataaaa nawaza tu kama anafatilia
 
Tundu Lisu wao huyo
Mkuu unasimfananishe TL na kilaza wa form 3 mwenye kaz ya kukariri misamiati tu. Suala la NASA kwenda mahakamani ni suala la kukamilisha utaratbu tu wa kukubali matokeo hata hoja za Mawakili sio issue sana. Ilikua ni lazma wakubali. Huez mshawishipinzan akubali matokeo kwa vimisamiati
 
Back
Top Bottom