Dakika 5 za mashambulizi ya makombora ya Iran ndani ya Israel!!

Dakika 5 za mashambulizi ya makombora ya Iran ndani ya Israel!!

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Mods msiunganishe huu Uzi tafadhali ili kuweka mizani sawa ya kile kilichojiri kwenye mashambulizi ya Iran ndani ya Israel, hii ni kuonyesha uhalisia baada ya Israel na vyombo vya habari vya magharibi kudai kua 90% ya makombora yalidunguliwa.

Tutazame dakika 5 za maeneo yaliyopigwa,yakijumuisha kambi za jeshi za kuhifadhia ndege za 35 F 5th Generation, depot ya gesi,Makao makuu ya Mossad na miundo mbinu mingine ya kijeshi katika miji zaidi ya mitatu kwa wakati mmoja,ikiwemo Tel Aviv center kwenye Makao makuu ya Mossad!


Serikali ya Israel ikikiri na kulalama kuhusu ukubwa wa mashambulizi uliolazimu watu 10mln kuingia kwenye mahandaki maalumu ya kuepuka maafa!!


View: https://x.com/Israel/status/1841250555454259550?t=Psp-FzwEcR_pe4wlVfafCA&s=19
 
Mods msiunganishe huu Uzi tafadhali ili kuweka mizani sawa ya kile kilichojiri kwenye mashambulizi ya Iran ndani ya Israel, hii ni kuonyesha uhalisia baada ya Israel na vyombo vya habari vya magharibi kudai kua 90% ya makombora yalidunguliwa...
Hao mijamaa mbona kama wanashabgilia mafataki

Hizo kumbe ndo kambi za kijeshi za Israel aisee !!
 
Mods msiunganishe huu Uzi tafadhali ili kuweka mizani sawa ya kile kilichojiri kwenye mashambulizi ya Iran ndani ya Israel, hii ni kuonyesha uhalisia baada ya Israel na vyombo vya habari vya magharibi kudai kua 90% ya makombora yalidunguliwa.

Tutazame dakika 5 za maeneo yaliyopigwa,yakijumuisha kambi za jeshi za kuhifadhia ndege za 35 F 5th Generation, depot ya gesi,Makao makuu ya Mossad na miundo mbinu mingine ya kijeshi katika miji zaidi ya mitatu kwa wakati mmoja,ikiwemo Tel Aviv center kwenye Makao makuu ya Mossad!
View attachment 3113574
Mama mkanye mwanao
 

Attachments

  • Facebook_1727884304261.mp4
    2.2 MB
Hivi unafahamu umbali uliopo kati ya Iran na Israel?!! Ni zaidi ya 2000km,je kuna fataki inayosafiri 2000km?!!

Hizi clips waliorekodi ni raia wa Israel wakiwa distance ya mbali na milipuko,pia baadhi zimerekodiwa na raia wa Kipalestina wakiwa kilometer kadhaa mbali kabisa na Israel ila waliona makombora wakati yanaelekea kushambulia,ni kama mtu awe WZot Hill Tegeta akaona Posta ama Kigamboni makombora yanavyoshuka.

Kasome maana ya ballistic missiles!!
Hao mijamaa mbona kama wanashabgilia mafataki

Hizo kumbe ndo kambi za kijeshi za Israel aisee !!
 
Hao mijamaa mbona kama wanashabgilia mafataki

Hizo kumbe ndo kambi za kijeshi za Israel aisee !!
Uliona bomu limedondokea kwao?

Kumbe siyo mkisoma tu hamuelewi, hata picha hamuoni.

Aliyewaita kondoo hajakosea, nampongeza.
 
Msilete lawama au kutaka kuonewa huruma pindi Yahood atakapoliamsha dude
Hapa hakuna dude wala dodo, hii sasa ndio vita, kama zayuni ana uwezo na apige tehran sasa ili tuone shoo shoo
Amezoea kuonea wale sungusungu tu

Hapa atapata anachokitafuta, sema nini yahudi mjanja sana, ataomba poo kimya kimya au atatumia umoja wa mataifa kuleta vikwazo
Ila kwa shoo hamuwezi muajemi
 
Uliona bomu limedondokea kwao?

Kumbe siyo mkisoma tu hamuelewi, hata picha hamuoni.

Aliyewaita kondoo hajakosea, apongezwe.
Unajua Gharama ya hayo makombora na madhara yake nchini Israel
Unawezaje kutofautisha na mafataki ambayo madhara yake makubwa ni kwa watu wenye Pressure na sukari zaidi kutokana

Yah sisi ni kondoo kwa tabia ya upole hatuna maamuzi ya kukurupuka Kama mbuzi wanaouliwa ovyo kwa mihemko na kijinga
 
Back
Top Bottom