Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Usimpe shikamoo ya kiswahili, mpe Asalaam alaykum ya maulamaa.Kabisa bwashee, kila moja na mbabe wake
Shikamoo ayatola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimpe shikamoo ya kiswahili, mpe Asalaam alaykum ya maulamaa.Kabisa bwashee, kila moja na mbabe wake
Shikamoo ayatola
Unajua Gharama ya hayo makombora na madhara yake nchini Israel
Unawezaje kutofautisha na mafataki ambayo madhara yake makubwa ni kwa watu wenye Pressure na sukari zaidi kutokana
Yah sisi ni kondoo kwa tabia ya upole hatuna maamuzi ya kukurupuka Kama mbuzi wanaouliwa ovyo kwa mihemko na kijinga
Mods msiunganishe huu Uzi tafadhali ili kuweka mizani sawa ya kile kilichojiri kwenye mashambulizi ya Iran ndani ya Israel, hii ni kuonyesha uhalisia baada ya Israel na vyombo vya habari vya magharibi kudai kua 90% ya makombora yalidunguliwa.
Tutazame dakika 5 za maeneo yaliyopigwa,yakijumuisha kambi za jeshi za kuhifadhia ndege za 35 F 5th Generation, depot ya gesi,Makao makuu ya Mossad na miundo mbinu mingine ya kijeshi katika miji zaidi ya mitatu kwa wakati mmoja,ikiwemo Tel Aviv center kwenye Makao makuu ya Mossad!
View attachment 3113574
ULINZI WA ANGA WA ISRAEL NI DHAIFU WAMESHINDWA KUTUNGUA MAKOMBORAMods msiunganishe huu Uzi tafadhali ili kuweka mizani sawa ya kile kilichojiri kwenye mashambulizi ya Iran ndani ya Israel, hii ni kuonyesha uhalisia baada ya Israel na vyombo vya habari vya magharibi kudai kua 90% ya makombora yalidunguliwa.
Tutazame dakika 5 za maeneo yaliyopigwa,yakijumuisha kambi za jeshi za kuhifadhia ndege za 35 F 5th Generation, depot ya gesi,Makao makuu ya Mossad na miundo mbinu mingine ya kijeshi katika miji zaidi ya mitatu kwa wakati mmoja,ikiwemo Tel Aviv center kwenye Makao makuu ya Mossad!
View attachment 3113574
IRAN HAWAKULENGA MAENEO WANAYOISHI WATU ILA NETANYAU AKILETA KIBURI TUTAPIGA MAENEO YA RAIA WA KAWAIDAUkijaribu kujibu tutajupiga mara 1000 times. Eeeeh! Ayatollah weeee mungu akuongezee hekima na busara, umei mrefu na afya njema amiin
Mmeanza sisi Waajemi tumechoka kuonewa tuko tayari kwa vita😀Unajua Gharama ya hayo makombora na madhara yake nchini Israel
Unawezaje kutofautisha na mafataki ambayo madhara yake makubwa ni kwa watu wenye Pressure na sukari zaidi kutokana
Yah sisi ni kondoo kwa tabia ya upole hatuna maamuzi ya kukurupuka Kama mbuzi wanaouliwa ovyo kwa mihemko na kijinga
Hujawahi kuwa na point hata siku moja.Unajua Gharama ya hayo makombora na madhara yake nchini Israel
Unawezaje kutofautisha na mafataki ambayo madhara yake makubwa ni kwa watu wenye Pressure na sukari zaidi kutokana
Yah sisi ni kondoo kwa tabia ya upole hatuna maamuzi ya kukurupuka Kama mbuzi wanaouliwa ovyo kwa mihemko na kijinga
Naona njaa inakusumbua.Hamna madhara yoyote makubwa baada ya hayo unayoita mashambulizi makubwa.
Hako ka clip kame editiwa na wahuni wahuni wa jeshi la Iran ma kukasambaza.
Wewe unawaza kuua watu tu kama afanyavyo mzayuni kuua raia wasio na hatia!?Duuh, Wameua watu wangapi?
Israel huwa inafanya censorship kubwa sana ya taarifa za vita,mfano Jana wameuliwa wanajeshi takribani 35 na Hezbollah walipojaribu kuingia Lebanon kwenye ground invasion, taarifa wametoa kua wanajeshi 7 tu!!Tuliambiwa makombora yote yalidakwa na kuhaeibiwa juu kwa juu lakini kwa macho yangu na yaona yakitua bila shida yoyote
Hakuna hasara kubwa kama kupoteza roho za watu, hayo majengo na vifaa vitatengenezwa tu with time hata vikichelewa...hata huko Gaza na kwingineko si sahihi kupoteza roho za watuWewe unawaza kuua watu tu kama afanyavyo mzayuni kuua raia wasio na hatia!?
Hutizami nchi imepata hasara gani katika miundombinu!?
Pia jiulize kama Iran ameweza kushambulia maeneo ya jeshi yenye ulinzi je atashindwa kulipua majumba ya watu!?
Hamna madhara yoyote makubwa baada ya hayo unayoita mashambulizi makubwa.
Hako ka clip kame editiwa na wahuni wahuni wa jeshi la Iran ma kukasambaza.
Tunakubaliana kwamba Iran hana nia ya kuua watu wasio na hatia?Hakuna hasara kubwa kama kupoteza roho za watu, hayo majengo na vifaa vitatengenezwa tu with time hata vikichelewa...hata huko Gaza na kwingineko si sahihi kupoteza roho za watu