Nilimuona hagai baada ya lileshambulio alijibu kwa kutetemeka kama mtu mwenye arrhythmia hivi na kiwew ..hii ndo lugha huwa wanailewa hawa jamaaFattah-2, izo kiboko ya Iron Dome
Video hii Netanyahu na Hagari hawatazisahau maishani
niliona hiyo, alitetemeka maana hakuamini kilochotokeakutetemeka
Wanajidanganya wenyewe Sasahivi teknolojia ilivyo mbali Hivi Kila mtu ni mwandishi wa habarIsrael huwa inafanya censorship kubwa sana ya taarifa za vita,mfano Jana wameuliwa wanajeshi takribani 35 na Hezbollah walipojaribu kuingia Lebanon kwenye ground invasion, taarifa wametoa kua wanajeshi 7 tu!!
Assalam alaykum ayatolaUsimpe shikamoo ya kiswahili, mpe Asalaam alaykum ya maulamaa.
🤝Assalam alaykum ayatola
April pia waliwatangwa Israel kwenye miundo mbinu,hata HAMAS na Hezbollah hawakuua raia,waliwateka ,huwa wanaua wanajeshi wa Israel kwa kulenga kambi zao ama vifaru!!Sikuwai kujua kama Irani ni wastaarabu kiasi hiki...hawajagusa kabisa makazi ya raia wasio na hatia..