Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Kumbe una Mage😂😂Mage yupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe una Mage😂😂Mage yupo
Stor haijaisha we endeleaKumbe una Mage😂😂
Duh unaleta tamaa za kifisi Sasa hizoNisaidie no. ya Mercy mkuu. Weekend ijayo nimtembelee aache kukusumbua.
NB: Ni pisi kweli au unatuzu
Mwez wa 7 naona ni mbali 😃😃😃Ouky All the best....Mungu akuongoze ufanye maamuzi sahihi yenye tija maishani
Kwa akili hizo hauwezi kuishi na mwanamke yeyote utaishia kupata strockNikaanza uchokoz nikamlegeza kabisa kisha nikaweka mkeyenge kwa nguvu sana na ililenga palepale ebana Mercy alitoa kelele moja kwa mkeyenge wake nikaona nimemuweza nikapiga kama tako tano alipiga sana kelele kwasabb ilikuwa inabana sikuchukua muda nikakitupa cha kwanza. Nilipochomoa nilimuona mercy kajifunika sura na mikono yake anaona aibu ila kuangalia chini ni kweli palikuwa na dam nyingi kimtindo.
Mkeyenge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa akili hizo hauwezi kuishi na mwanamke yeyote utaishia kupata strock
Zitafute nishaweka episodesNasubiri next episode uni tag!!!
Nipo Tanga hapa lushoto
Nitakuja kwenye harusi mwez wa 7
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Lushoto sehem gan kakaNasubiri next episode uni tag!!!
Nipo Tanga hapa lushoto
Nitakuja kwenye harusi mwez wa 7
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dogo omba michango JF tukuchangor harusi.Lushoto sehem gan kaka
Hapana Mzee sina huo mpango kabisa nitakifanya jambo kulingana na uwezo wanguDogo omba michango JF tukuchangor harusi.
Unawasiliana nae wa nini? Bado unampenda?Hizi ni meseji Mercy alinilazimisha niende kwao leo nirudi kesho kutwa. View attachment 2959998
Kesho nitaleta muendelezo wa maelezo muone jinsi dunia inachanganya haieleweki.
Hivi Ben bistro bado inafanya kazi? Nataka kuja na Mercy ukinipa nambaHapana Mzee sina huo mpango kabisa nitakifanya jambo kulingana na uwezo wangu
Hivi Ile baiskeli Yako bado unayo??Hapana Mzee sina huo mpango kabisa nitakifanya jambo kulingana na uwezo wangu
Siku ya ndoa na Mage nitchanga na nitahudhuria hiyo harus.Nitafute 0747464239Tuendeleee.........
Ule ujumbe wa Mercy siku ile ulimboa sana Mage na hata mimi pia.
Mage aliniomba namba za Mercy lakini niliona kama vile ni utoto yeye kuanza kupigishana kelele na mtu ambaye naimani kabisa Hana nafasi katika maisha yangu kwasasa.
Nilianza kuona kabisa Mercy kapoteza nafasi katika maisha yangu baada ya Mage kuja katika maisha yangu.
Hisia na mapenz kwa Mage viliongezeka na vinaongezeka kadri siku zinavokwenda. Mercy hakuchoka kunisumbua japo nimeshamwambia kuwa tayari nimepata mchumba na soon tutaoana.
Kuna siku nilikuta mesej kwenye cm ya Mage wanachat na Mercy. Hii siku niligundua kuwa Mercy nibile species ya wanawake ambao ni selfish.
Nilikuta Mercy anamdanganya Mage kwamba yule mtoto ni wangu na nachokifanya ni kuikwepa dam yangu.
Cha kushangaza ni kwamba zile texts zilikuwa zina kama siku mbili lakini Mage hakuwahi kuniuliza chochote juu ya yale mambo ambayo aliambiwa na Mercy.
Hiki kitu kinanifanya niendelee kumuona Mage kwamba ni mtu na nusu yani ni kama nimeokota dodo kwenye mpapai. Na mpka sasa hivi mage hajawahi kuniuliza kuhusu hiki kitu nafikiri ni kwasababu tayari nilikuwa nishamueleza yote yalotokea kati yangu mimi na Mercy na akanielewa. Na katika yale majibizano niliona Mage anamwambia MERCY kwamba amemuelewa na atalifanyia kazi. Yani niliona kabisa Mage katumia akili kubwa ili kumzubaisha Mercy na kumfanya acool down.
Mercy tayari kaniambia kwamba mwezi wa 6 au wa 7 atahamia hapa Tanga mahali nilipo na anasema et hatachoka kizembe na kuniacha nimuoe mtu mwingine Zaid yake.
Hizi mambo za Mercy kiukweli now days ni kama hazinistui na nadhani ni kwasababu ya uwepo wa huyu mchumba Mage karibu yangu muda wote.
Ndugu zangu kuna mengi lakin NIPENDE kuwajuza kwamba mimi na Mage tayari kuna makubaliano kati ya pande mbili.
Taratibu zimefuatwa na gues what mwezi wa saba Mungu akipenda tutaanza maisha mapya mimi na Mage 🤩🤩🤩 kama mke na mume. Nitapenda kuwa update juu ya kitakachoendelea mpka hapo mwezi wa saba mimi na Mage tutakapoanza maisha yetu na nina imani tutaishi kwa furaha na Mungu ajaalie hivyo.
Niwashukuru pia kwa kuzidi kunipa ushaur juu ya hili swala ambalo kiukweli limenipitisha katika njia na hali ngumu ambazo sikutarajia katika maisha yangu lakini NIPENDE kumshuku Mungu kwa zawad ya uhai na huyu mchumba wangu Mage ambaye Sasa anaonekana kuwa zawad special kutoka kwa Mungu.
Mungu awabariki sana, tutakutana hapo baadae katika muendelezo wa kipi kitakachotokea hapa katikati. Ahsanteni sana.
Pia nitachangia 0762038080 usiache kunishirikishaSiku ya ndoa na Mage nitchanga na nitahudhuria hiyo harus.Nitafute 0747464239
Ila bado naomba namba ya MercyPia nitachangia 0762038080 usiache kunishirikisha
Upo Tanga?Siku ya ndoa na Mage nitchanga na nitahudhuria hiyo harus.Nitafute 0747464239
Unaona vile watu wanafiki? Mercy hafai lakin wewe unataka namba yakeIla bado naomba namba ya Mercy