Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Tuendeleee..........

Kwanza kabisa kuna kitu ni kama ninakihisi, ni kwamba ninahisi Mercy aliwambia kwao kwamba mwanaume mwenye mtoto ni mimi na siyo Dokta.
Nahisi pia kawadanganya kwamba nimekengeuka sitaki kumuoa mtoto wao kwasababu sasahivi hili sekeseke hadi wao wazaz wa Mercy wameingilia kati. Na bila shaka kama Mercy angekuwa kawambia ukweli kwamba yule mtoto sio wangu ni wa Dokta basi wazazi wangedili na Dokta na siyo mimi.

Mercy namuona ni kama anatumiwa na shetani kunivurugia mambo yangu.
Mercy amepanga mipango ya kuhamia Tanga mahali nilipo ili awe karibu na mimi. Nilijaribu sana kumpiga biti nyingi za makatazo juu ya mpango wake kwani ataniharibia mipango yangu na Mage na ukizingatia Mage tayari tupo naye vizuri sana yani mapenzi ni moto sana saivi.

Mage ni mwanamke mzuri na mpka sasa siamini ni kwanini nilimkuta Mage akiwa single Hana mtu najiuliza je alikuwa anawakataa watu au alikuwa hatongozwi maana Mage ni wife material haswa. Ila nachokiamini Mage hakuwa single ila kaamua kuweka utoto pembeni na kuwa na mimi 100%.

Nahisi pia ni mpango wa Mungu Mage kuwa namimi kwasababu amekuja wakati sahihi wakati ambao nilikuwa nahitaji sana mtu wa karibu ambaye ataridhia kuwa namimi no matter what.

Yale matatizo ya moyo niliyoyapataga
nahisi bado kwa kiasi kidogo yapo bado japo kadri siku zinavokwenda yanazidi kupotea na nazido kuimarika.
Kuna muda nahisi hasira kwa vitu vidogo vidogo, pia kuna muda nadhoofika moyo unakuwa unapiga kwa nguvu mpka nikiweka kiganja juu juu tu katika sehem ya moyo nakuwa nafeel moyo unavopiga kwa nguvu Sasa hii hali inanifanyaga nidhoofike na pia nakuwa na shorten breath.

Mage tayari anafaham hali yangu halisi na ananipa kampani ya dhati sana mpka naona kama vile ni special from God.

Kuna siku nipo na Mage nakumbuka ilikuwa siku ya j pili weekend maana Mage anakuwaga na nafasi ya kuja kunitembelea siku za weekend.
Siku hiyo tupo bed tunapiga stors meseji ya Mercy ikaingia "DeMostAdmired mimi nawewe tulipanga mengi makubwa, kilichotokea mimi kukusaliti mpka kuzaa na Dokta ni kama ajali tu na sikufanya kwa kukusudia naomba unielewe. Dokta nimeshampiga marufuku hanitafuti tena na Hana kabisa mazoea na mimi. Nisamehe kila siku nakuomba msamaha siyo kwamba sitongozwi natongozwa ila nahitaji kuolewa nawewe niambie nini nifanye ili urudishe moyo wako kwangu mimi nipo tayari".

Hii mesej hata Mage ilimpa mashaka japo tayari ameshamzoea Mercy na vimbwanga vyake lakini siku hii Mage alisimama akanambia " baby huyu mwanamke sasa naona anavuka mipaka, mimi sipo tayari kuona unatumiwa mamesej ya kubembelezwa namna hii na wewe ni binadamu kuna kipindi kitafika utaanza kuregea na kuanza kumpenda huyu Mercy"

Mage alinambia either tubadirishane laini yeye atumie yangu namimi nitumie yake au lah basi nivunje hii yangu nisajili nyengine ili Mercy asinipate tena.
Niliona option ambayo kidogo ni nzuri ni hii Option ya pili japo niliwahi kubadirisha laini lakini alipata namba yangu kupitia watu tulomaliza nao chuo ndo walimpa namba yangu na wembe ukawa ni uleule.

Nilimuahidi kwamba atulie mimi ni mwanamume ninaakiki timamu nafahamu Mercy siyo mtu mzuri kwahiyo asiwe na wasiwasi kabisa.
Alikubali japo kwa shingo upande

Siku hii Mage aliwaka sana mpka nikaona kama vile Mercy anaenda kuniharibia mipango yangu na Mage kwasababu mage tayari ameridhia tuanze taratibu za kutambulishana ili tuanze kuishi pamoja kama mume na mke na hapo baadae tufunge ndoa. Hii kitu bado naona ni mapema kwasababu ndo kwanza hata mwaka hatujamaliza.


See you........
Una mambo ya kitoto sana na ukike kike ndani yako,na ugoigoi unapenda sana kuonewa huruma kwa njia za kujifanya mhanga,,,,kinachokushinda kumpiga mimba mage ni nini??? Ngoja apewe mimba na walimu wenzie,,,,piga mimba weka alama yako acha kulialia ovyo.....mtoto wa kiume
 
Una mambo ya kitoto sana na ukike kike ndani yako,na ugoigoi unapenda sana kuonewa huruma kwa njia za kujifanya mhanga,,,,kinachokushinda kumpiga mimba mage ni nini??? Ngoja apewe mimba na walimu wenzie,,,,piga mimba weka alama yako acha kulialia ovyo.....mtoto wa kiume
Mwez wa 7 anakuwa wangu officially
 
Karibuni katika kisa hiki kilichoacha alama isiyofutika katika moyo na MAISHA yangu.

Nitaanzia mwaka 2019 nilipojiunga na chuo x hapa nchini. Tukiwa first year nilipata mchuchu mmoja wa kuitwa Mercy mtoto wa Kilimanjaro. Mercy alikua mtoto wa kishua, alikua mwembamba mrefu sura nyembamba ndefu na meno ya kuungua ungua.

Mercy hakua bint wa mambo mengi sana hasa tulipokuwa first year. Tulianza mahusiano yetu nakumbuka ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2020. Tulikuwa tunasoma koz Moja mimi na mpenz wangu kwahyo most of the time tulikuwa pamoja, disc na hata katika private studies tulikuwa hatuachani kiukweli tulipenda sana.

Sasa kutokana na jinsi nilivokuwa nimemsoma Mercy niligundua sio mtu wa kumuomba show haraka haraka ningezingua pengine ningempoteza kabisa. Mercy alikua mtu wa kusali, mpole lakini mcheshi anaongea alipohitajika kuongea hakuwa mtu wa kuongea ongea hovyo (hii ndo type ya madem naowapenda). Masomo yaliendelea na of course sisi sote darasani tulikuwa poa sana maana hata sup sikuwahi kupata na yeye alipata moja semester ya 3 tu na chanzo ni mvurugano katika mapenzi uliotokea mbele ya safari nitawajuza nini kilitokea.

Siku zilipita miezi ikasogea tukafunga ile likizo fupi ya 3 yeye alienda kwao mimi nilibak mkoan hapo hapo. Kumbuka sikuwa nimeanza kumchombeza kuhusu tendo ila tulikuwa tunafanya soft touches na romance to lakini show no.

Tulipofungua, siku Mercy alipokuwa anarud chuoni nilienda kumpokea stand tulifurah sana kuonana, alikua anapendelea kuvaa suruali na tishirt na raba alikua kapendeza sana kwahyo tulipanda daladala tukapitia town tukapata chakula cha jioni nikamchukulia na yoghurt tukarud chuoni.

Baadaa ya wiki mbili kupita nikaanza kumchombeza kuhusu show mwanzo alikua ananikatalia kabisa anasema mpka ndoa lakini nilikaza sana na mwisho wa siku akanikubalia.

Siku tulopanga twende kugegedana......

Tulipanga ijumaa jioni ya wiki ile twende out town tulale hukohuko. Mimi ijumaa asubuh kwasabb tulikuwa hatuna vipindi asubuh nakumbuka siku ya ijumaa tulikuwa na kipindi kimoja tu mchana. Nilijidamka nikaenda town kubook chumba mapema katika moja ya lodges zilizopo hapo town. Ilikuwa ni lodge ya hadhi japo sio hadhi kubwa ya kivile lakini nilihakikisha natafuta sehem ambayo ingemfamya Mercy ajione no wa thamani. Nakumbuka nililipia tsh 45k ya siku nzima na kulala kabisa.

Nilimaliza mishe mida ya saa5 asubuhi nikachukua key ya chumba nikarud chuo ili kuwah kipindi. Mercy aliuliza mrejesho nikakwambia kila kitu kipo poa akajibu poa na kusema kwamba kazi ipo Leo. Nilisahau kuandika mwanzo, Mercy aliniambia kwamba hakuwa kufanya mapenz kwahyo mimi ndo ntakuwa first kwake, asee nikajisemea nitafanya kila kitu ili nimfungue na niwe mwanaume wake wa kwanza.

Tukutane next episode.......

Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
Kamkunji
 

Tuendeleee.......

Baada ya kile kipindi cha mchana tulitoka kurud hostel. Ilipofika saa kumi jioni nikamstua mama mtu nkamwambia ajiandae akasema Haina shida anajiandaa. Nikawa napoteza muda nikichek movie ya "the boy who harnessed the wind" no movie yangu pendwa. Ilipofika saa kumi na moja nikamchek tena akajibu ameahirisha duuuh nilikuwa nimeweka laptop kwenye mapaja kidogo niibwage chini kwa jinsi nilivostuka baada ya Mercy kunambia ameghair nikamsihi nikamwambia ukiachana na gharama tayar nishaweka oda ya msosi wa jioni kule town na tayar nishaset akili yangu kwamba leo ndo leo. Kumbe alikuwa ananichora bhana mwsho wa siku akanambia tutaondoka saa Moja kasoro jioni nikakubari.

Ile movie iliisha nikaanza kupitia assignment ambayo tuliambiwa tukusanye j tatu asubuh ilikuwa ni chemistry nikaipitia pitia pale ku-buy time lakini akili haukuwa pale kabisa.

Bila hiana muda ukafika bhna nikamuona mtoto kajikusanya kusanya kaja tulikutana kituo cha daladala alikuwa katupia kimtindo na ki handbag chake kwapani. Tukanyaka chuma mpka town, tulipofika tuliingia ndani tulikuwa tyr tushaoga kwahyo haikuwa na haja ya kwenda washroom. Tulifukia kwenye sofa lililokuwemo humo room, stor na romance zilianza, tulivua nguo tukapiga deep kisses za hatar tukahamia kitandani kimbembe kikaja kwenye kuweka dudu la yuyu.

Mercy kweli alikua bikra yani nilisumbuka sana kuinsert dudu la yuyu nakumbuka aliniuma meno mkononi nikakasirika nikaenda kwenye sofa mwsho wa siku akaja kumuomba msamaha mambo yakaendelea. Nikakumbuka kuna order ya msosi nikatoka kwenda kitchen kuulizia kinachoendelea na nilikosa chips kavu mbili na mbuzi nusu na vinywaj. Zilipita kama do 15 chakula kikaja tukala then tukaenda kuoga tukarud kuendelea kuviziana kitandan. Mercy aliomba niende dukani kutafuta Panadol ili kama maumiv yatakuwa makali bas atumie dawa. Nikaona no idea nzur nkaenda kuchukua dawa nikarud fast.

Nikaanza uchokoz nikamlegeza kabisa kisha nikaweka mkeyenge kwa nguvu sana na ililenga palepale ebana Mercy alitoa kelele moja kwa mkeyenge wake nikaona nimemuweza nikapiga kama tako tano alipiga sana kelele kwasabb ilikuwa inabana sikuchukua muda nikakitupa cha kwanza. Nilipochomoa nilimuona mercy kajifunika sura na mikono yake anaona aibu ila kuangalia chini ni kweli palikuwa na dam nyingi kimtindo.

Katika Ile handbag aliweka kanga, Ile kanga aliitanguliza chini kwahyo dam zikaishia katika kanga. Tukatoka kwenda kuoga lakini dizain kama Mercy alikuwa kanuna lakini baada ya kumaliza kuoga alikuwa kashakaa sana tukala stor tukarud bed. Nilianza plan za kuakiamsha Cha pili tukaanza romance, mara ya pili niona changes kwa Mercy alipunguza uoga ja ham iliongezeka kwahyo cha pili kidogo tulienjoy japo kelele ziliendelea.

Asee mpka kunakucha nililipia rounds 3 asubuh saa3 tukaondoka tukapita town kununua msos tukarud chuoni. Njiani Mercy alinambia maneno flani kwamba angenishangaa kama nisingefanikiwa kuitoa bikra.

Basi bhna tuliendelea kuzama penzini na mapenz yaliongezeka mara dufu na watu walituoenda sana chuoni na wengine kutuonea wivu hasa madem na ma men wachache kwasabb tulikuwa tunaish lifestyle flan hvi nzuri sana.

Ilifika muda wa kufanya UE ya kwanza kulifanya vzr mimi na Mercy hakuna aliyepata sup, hii ilizidisha mapenz kati yetu na wanafunzi wenzetu walitupa hongera sana kwasabb so kwamba hatukupata sup tu bali GPA zilikuwa sio haba zilivutia.

Tulianza kupata changamoto kutoka kwa wanafunzi wenzetu, kuna wadada walikua wananifata kunitongoza na yeye alifatwa sana na ma men lakini tulijiapiza kutokusalitiana. Tuliendelea vizr mpak mwaka wa kwanza ukaisha vizuri tu. Mimi na Mercy hatukendekeza ngono kwani mpka mwaka wa kwanza ulipoisha tulifanya mara moja tu.

Mwaka wa pili ulianza baada ya kumaliza likizo....mambo yalibadirika mwaka wa pili katikati.....

See you............

Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
 
Nchi ngumu sana
Tuendeleee..........

Nilienda town nikachukua viraba vya mazoez vya buku 8 haikuwa njumu kabisa ila ni raba nyepesi ambazo ni nzuri kwa kuchezea mpira kwa sisi ambao tulikuwa tunacheza kujifurahisha.
Siku ile ile nilianza kwenda chuoni kwaajili ya mazoez.

Baada ya tizi nikachukua baiki yangu kurudi magetoni njiani nilikuwa nakokota huku nikichat na Mercy na akanambia anaendelea vizur na safar na yalikuwa yamebak kama masaa mawili au matatu wafike. Siku ile nilichoka sana nikaamua kuoga then nikaenda kijiweni kula ili mambo yasiwe mengi.

Baada ya kula nipo zangu geto Mercy fek kanichek kaniuliza nipowapi nikamjibu home akasema anakuja kwani ana kitu cha kuongea na mimi.
Nikajiuliza huyu dem anataka nini ila nikasubr aje nimsikilize.

Hazikupita hata dakika mtu huyu hapa, kachoma ndani kanikuta kitandani naye akakaa pembeni yangu. Nikamkaribisha, nikamuliza nambie kuna mpya gani. Kaniuliza ni hatua gani nitachukua endapo atanithibitishia kwamba Mercy anatembea na Dokta nikamjibu mimi ni mwanaume na nishaanza kujifunza kuwa mvumilivu na kuhimili changamoto za mahusiano.

Mercy fek akatoa cm akafungua gallery akanionesha picha, alichukua cm ya Dokta akapiga picha chat za Dokta na Mercy. Chat zilikuwa zinaonesha Dokta alikuwa anamuliza kuhusu safar na kumtakia safar njema.
Mercy fek akanambia hakutaka kupiga zile texts mbya zaid za kiniumiza lakini it's true Mercy wangu alikuwa ananicheat silently.

Nilimkatisha asiendelee kuongea na nikavuta pumzi ndani kwa nguvu na kuitoa nje ili nitafute relief angalau. Mercy fek akaanza kama kuleta pigo za kutaka dudu ya yuyu nikamkata jicho elekezi na hapo alinielewa na akaahirisha mpango wake. Akavunga vunga pale anasikiliza mziki then akasepa zake nikabak alone. Siku ile pia nililia kisa Mercy, lakini mwisho wa siku nikaona hata nifanyaje wa kuokoa penz letu sio mimi hali ni Mercy kwahyo ikabidi nirelax tu nisiwe na makuu kwani hata kama ningegaagaa chini isingesaidia kitu.

Nikajikaza kitandani ghafla simu ikaita alikuwa Mercy,nikapokea kinyonge sana. Akanambia kafika nikampa pole basi nikamwambia apumzike ili aniache nilale zangu pia. Usiku ule ulikuwa mbaya sana maana niliandamwa na ndoto za kijingajinga sana nikaona dalili za kupata shida ya afya ya akili japo sikulitilia maanani sana hilo swala kwa muda ule.
Kesho yake niliamka nikafua fua pale, nikapika tea nikapiga.

Mercy alipiga cm tukaongea kwa muda kidogo nikajikuta naanza kuongea sana kumsihi Mercy asiruhusu mapenz yetu yavurugike. Mercy aliniuliza kwani kuna shida gani? Umeona nini mbona unanihubiria sana kuhusu kuwa muaminifu? Nikaona hili ni swali ya kizushi namimi nkampunch nkamwambia hakuna shida ila awe tu makini asije kuniharibia future yangu.

Asee pamoja na kuwahi kupitia katika mahusiano kadhaa kabla ya Mercy lakini nikiri wazi kwamba Mercy aliuteka sana moyo wangu na sikuwa na la kufanya ila hatma yangu ilikuwa mikononi mwa Mercy.

Siku zilienda likizo ikaisha na Mercy akawa anakuja siku hiyo yani anarud chuoni. Siku hiyo Mercy alinambia kwamba atachelewa kufika kwasababu gari imepata shida njiani kwahyo watafika usiku around saa tano, akanambia haina haja ya kwenda kumpokea kuna anko wake ataenda kumchukua stand na atalala kwake.

Mmmmh nikaona hapa tayari gari imekata break kwenye mteremko sitaweza kuikontrol labda niichome mtaroni.
Kiukweli sikuridhishwa na majibu ya Mercy nikamwambia hapana mimi nitakuja kuchukua nitakuja na bodaboda asiwaze wala kumsumbua anko wake.
Mercy kweli aliwahi kunambia ana anko wake pale mjini na siku moja moja alikuwa anaenda kuwasalimia.

Nilimganda sana Mercy mwisho wa siku akakubali niende kumpokea. Kwasabb alikuwa kanambia jina la gari hasi nikawaza niwahi mida ya saa4 niwepo around ili akishuka anikute pale. Ilipofika saa3 na dk45 nilimpigia boda tukasepa stand.

Cha kushangaza nilipofika stand nikakaa kama dk 20 ile gari ikaingia.
Mercy alivoshuka alistuka sana alivoniona akaniuliza umefika mda gani hapa? Dereva kakimbiza sana gar ndomana nimefika kabla ya muda nilokuelekeza.
Nikampokea sikutaka tuongee sana pale, tulipanda boda tukapotea. Njiani cm ya Mercy iliita kama mara tatu hivi na sms ziliingia kadhaa. Lakini sikutaka kumuuliza Mercy kuhusu hizo cm na sms.

Hii ndo ilikuwa siku rasmi Dokta alianza kuonesha ROHO mbaya mpaka ikapelekea kuandika Uzi huu na kuupa jina hilo.

See you............

===
Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
Hatari
 
Bro cha kufanya ungekata mawasiliano nae , trust me hii kuchat chat kila cku ipo siku utakubali ombi lake la kutaka kumuoa.. mtu tabia ya mtu unaipima kwa makosa yake.. ipo siku ukimuoa na atarudia kosa lile lile , wanawake viumbe vingine kabisa .. usiwaamini.. anaweza kuja anakulilia lilia ukamhurumia akishakupata au ukimsamehe , lazma akutende tena maana hawa viumbe hawajali na hua wanasahau mapema. so its better kukata mawasiliano nae , tambua hata siku moja mtu haachi asili yake MSALITI NI MSALITI TUU HATA AKIJIHURUMISHA KIASI GANI KAMWE USIKUBALI KUMRUDISHA. jiulize kwan umezaliwa nae , na usingeenda chuo kimoja ungemjua kwani ?

kinachosababisha na kinacholeta shida hua ni mazoea , sawa kuna muda utamiss moments mlivyokua pamoja , but let her go , na kata mawasiliano nae .. ipo siku atakuteka kiakili na utakubali kua nae trna na ilihari ana mtoto tayari.. So ushauri wangu kata mawasiliano nae
Shukrani mkuu,
Conclussion ya hii simulizi nimeipata hapa kwako.
1. Msaliti ni msaliti tu (Nyoka hata akijivua gamba, hawezi kuwa Mjusi - bado ataendelea kuwa Nyoka)
2. Mazoea ya wapenzi wengi waliofanya mambo mengi ya pamoja - huwaletea shida sana baada ya kuachana. (Kuna connection fulani inakuwa moyoni hii ndiyo huja kusababisha sonona ndani ya moyo baada ya kuachana)
- Hapa ndio maana tunaona baadhi ya wapenzi walioachana, baada ya mwaka au miaka miwili utawaona wanakuja kurudiana na wanabaki kusingizia nimemrudia kwa sababu ya watoto, au kaomba msamaha n.k lakini shida huwa ni ile bond iliyowaunganisha ndiyo inatesa sana moyo.
3. Na mara nyingi hata mkifanikiwa kurudiana, Mapenzi yenu yanakuwa tayari na makovu ya maumivu. Upendo hauwezi kuwa kama ilivyokuwa awali. Ule mzuka wa awali huwa unapungua.
4. Tujitahidi sana tunapoachana - wewe ndio usiwe chanzo cha kuachana kwenu. (Yule asiye na hatia/ Inocent ndio anakuwa na nafuu ya maumivu kuliko msaliti). Msaliti anakuwa na maumivu makali zaidi baada ya kule alikokutegemea kukuta nako amepoteza/ ametapeliwa
 
Shukrani mkuu,
Conclussion ya hii simulizi nimeipata hapa kwako.
1. Msaliti ni msaliti tu (Nyoka hata akijivua gamba, hawezi kuwa Mjusi - bado ataendelea kuwa Nyoka)
2. Mazoea ya wapenzi wengi waliofanya mambo mengi ya pamoja - huwaletea shida sana baada ya kuachana. (Kuna connection fulani inakuwa moyoni hii ndiyo huja kusababisha sonona ndani ya moyo baada ya kuachana)
- Hapa ndio maana tunaona baadhi ya wapenzi walioachana, baada ya mwaka au miaka miwili utawaona wanakuja kurudiana na wanabaki kusingizia nimemrudia kwa sababu ya watoto, au kaomba msamaha n.k lakini shida huwa ni ile bond iliyowaunganisha ndiyo inatesa sana moyo.
3. Na mara nyingi hata mkifanikiwa kurudiana, Mapenzi yenu yanakuwa tayari na makovu ya maumivu. Upendo hauwezi kuwa kama ilivyokuwa awali. Ule mzuka wa awali huwa unapungua.
4. Tujitahidi sana tunapoachana - wewe ndio usiwe chanzo cha kuachana kwenu. (Yule asiye na hatia/ Inocent ndio anakuwa na nafuu ya maumivu kuliko msaliti). Msaliti anakuwa na maumivu makali zaidi baada ya kule alikokutegemea kukuta nako amepoteza/ ametapme
Mercy haniendeshi kama zamani
 
Back
Top Bottom