Mkuu nasikitika bado hujaelewa hoja. Hebu rudia tena kusoma utaelewa maudhui yaliyomo kwenye munakasha huu.Amazing Side of the Life ni kwamba Unywe usinywe energy drinks, sijui uwe vegetarian, sijui ule unakula Pork au nyama nyekundu, sijui uwe mlevi, mvutaji nasema hivi KIFO KIKO PALE PALE.
Tena unaweza kuta mvutaji sigara akaishi miaka mingi kuliko vegetarian..! So Kuna siri kubwa sana kati ya Mungu na Uhai wa viumbe vyake.
Yaani wakati hata kabla hujaja duniani Mwenyezi Mungu anajua kabisa utaishi miaka mingapi hiyo ni siri hapo Nimeongelea mambo ya Rohoni.
Ila ya mwilini ndo haya tunayopigana kila siku usile hiki kula kile, fanya mazoezi haya...
Ishi maisha yako yanayokupa furaha ilimradi usimkufuru Muumba wako( kwa wale wa Imani).
Hahahahah ni ile jamii ya macho madogo kwahio hawali ovyo ovyo bila njaaIkiwa anapata mlo mzuri wenye nutrition inakuwa madhara yake sio sawa na MTU anayeigeuza hiyo Energy Kama chakula.
Pale aliimpa tu leyman translation ila nina imani alimaanisha ni addictive in a way. Zile benzoate substrates wanaweka ni mbaya sana kwa mwiliSio kweli huyu ni daktari bingwa wa kupotosha...
Kwanza tuanzie hapa, kilevi ni nini?
Nishawajua hao km wabongo 😁Hahahahah ni ile jamii ya macho madogo kwahio hawali ovyo ovyo bila njaa
Una maanishaa.Mkuu elimu!
wacha wajinga wajiue wenyewe,,,wewe unjua kabisa bangi mbaya unavuta,ulevi mmbaya unalewa,umalaya ni kifo unaendelea kunyanduana mpaka unapata ukimwi,sigara inaleta cancer unavuta,kuendesha gari speed ni hatari unaendesha,uvivu ni umaskini,unaendekeza usingizi,kula ovyo ni hatari,unafuga kitambi,,,,,acha mufe tu,,,mnailaumu serikali bure!!!!! kwani unavofanya uzinzi serikali imekulazimisha?? kwani unavonunua energy kuna shinikizo la serikali???? acheni hizo mambo"mtakufa sana"Naingia kwenye mada moja kwa moja. Juzi niliongea na daktari bingwa anayemiliki hospitali kubwa jijini kuhusu chanzo cha uraibu unaosababishwa na kinywaji cha energy. Daktari huyu alinihakikishia kwamba kinywaji chochote kinachosababisha uraibu lazima kinakuwa na kilevi au dawa za kulevya.
Jibu hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu kinwaji cha energy kinachotengenezwa na matajiri wakubwa wawili hapa nchini. Madhara ya kinywaji hiki yamewahi kufanyiwa utafiti na madaktari wa hospitali ya Muhimbili ambao waliwahi kumfanyia upasuaji wa mishipa ya moyo iliyoziba mgonjwa mmoja mraibu wa energy ambaye alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku.
Napenda kuelekeza lawama zangu kwa matajiri hawa wawili wanaowaua raia kimyakimya huku serikali ikiwa imekaa kimya imejikita kwenye ukusanyaji wa kodi wakati afya za wapigakura zinadhurika. Dawa za kulevya na vilevi vinavyotiwa kwenye kinywaji cha energy zina madhara makubwa kuliko uvutaji wa bangi au sigara.
Bangi imepigwa marufuku hapa nchini. Watengenezaji wa sigara wanaandika onyo kwenye paketi ya kila sigara: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Ni kwanini serikali haiwahimizi hawa matajiri wawili waandike maandishi kwenye chupa za energy:….unywaji wa energy ni hatari kwa afya yako….kama ilivyo kwenye sigara? Ina maana wameamua kuwaacha wapigakura wauawe na matajiri halafu mwaka 2025 nani atawapigia kura?
Sijawahi kuona nchi ya ajabu na isiyojali afya za wananchi wake kama hii nchi ya kusadika na kufikirika, Tanzania. Watawala wanataka wafe watu wangapi ndipo wachukue hatua? Inasikitisha na inahuzunisha sana.
Kwanini serikali isizuie utengenezaji wa hizi energy zinazoua watu kila kukicha? Mbona wanazuia bangi na kuwaacha Mo na Bakhresa waendelee kuwaua raia wasiokuwa na hatia? Sio vizuri na haipendezi hata kidogo.wacha wajinga wajiue wenyewe,,,wewe unjua kabisa bangi mbaya unavuta,ulevi mmbaya unalewa,umalaya ni kifo unaendelea kunyanduana mpaka unapata ukimwi,sigara inaleta cancer unavuta,kuendesha gari speed ni hatari unaendesha,uvivu ni umaskini,unaendekeza usingizi,kula ovyo ni hatari,unafuga kitambi,,,,,acha mufe tu,,,mnailaumu serikali bure!!!!! kwani unavofanya uzinzi serikali imekulazimisha?? kwani unavonunua energy kuna shinikizo la serikali???? acheni hizo mambo"mtakufa sana"
dawa nyingi za binadamu zina kilevi.Naingia kwenye mada moja kwa moja. Juzi niliongea na daktari bingwa anayemiliki hospitali kubwa jijini kuhusu chanzo cha uraibu unaosababishwa na kinywaji cha energy. Daktari huyu alinihakikishia kwamba kinywaji chochote kinachosababisha uraibu lazima kinakuwa na kilevi au dawa za kulevya.
Jibu hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu kinwaji cha energy kinachotengenezwa na matajiri wakubwa wawili hapa nchini. Madhara ya kinywaji hiki yamewahi kufanyiwa utafiti na madaktari wa hospitali ya Muhimbili ambao waliwahi kumfanyia upasuaji wa mishipa ya moyo iliyoziba mgonjwa mmoja mraibu wa energy ambaye alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku.
Napenda kuelekeza lawama zangu kwa matajiri hawa wawili wanaowaua raia kimyakimya huku serikali ikiwa imekaa kimya imejikita kwenye ukusanyaji wa kodi wakati afya za wapigakura zinadhurika. Dawa za kulevya na vilevi vinavyotiwa kwenye kinywaji cha energy zina madhara makubwa kuliko uvutaji wa bangi au sigara.
Bangi imepigwa marufuku hapa nchini. Watengenezaji wa sigara wanaandika onyo kwenye paketi ya kila sigara: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Ni kwanini serikali haiwahimizi hawa matajiri wawili waandike maandishi kwenye chupa za energy:….unywaji wa energy ni hatari kwa afya yako….kama ilivyo kwenye sigara? Ina maana wameamua kuwaacha wapigakura wauawe na matajiri halafu mwaka 2025 nani atawapigia kura?
Sijawahi kuona nchi ya ajabu na isiyojali afya za wananchi wake kama hii nchi ya kusadika na kufikirika, Tanzania. Watawala wanataka wafe watu wangapi ndipo wachukue hatua? Inasikitisha na inahuzunisha sana.
Au movie,kubetSio kwamba kila kitu chenye uraibu kina dawa za kulevya napinga maan Kuna watu Wana uraibu hata wa Aina za vyakula
Mafundi ujenzi wanavinywa sana hata sielew kwaninHata sio masikini bali umasikini wa akili. Wanaokunywa mo kwa wingi, sungura unaweza kukuta kutwa anachoma hata 5000 kunywa hivyo vidude ambayo hiyo 5000 inaweza nunua chakula kizuri akala. Wengi boda boda, mafundi ujenzi n.k
Kweli kabisa mkuu; kuna baadhi ya wazazi vilaza wanaoharibu afya za watoto wao kwa kuwalisha vyakula na vinywaji vya ajabu halafu wakishapata madhara wanaanza kuilalamikia serikali.Kuna siku nilikuwa hospital Fulani hivii ina jina kubwa tuu Dar kuna mtoto alikuwa anakunywa energy kapewa na mama yake,
Aisee, Doctor alivyo ona alifoka sana.
Nataka kusema hata sisi wazazi tulinde kizazi chetu kuna kama sie tumeshindwa kujilinda.
ExactlyKweli kabisa mkuu; kuna baadhi ya wazazi vilaza wanaoharibu afya za watoto wao kwa kuwalisha vyakula na vinywaji vya ajabu halafu wakishapata madhara wanaanza kuilalamikia serikali.