Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

Wait
Kuna binadamu aliyeumbwa na nyama ukimpitisha vidole viwili havipiti tuwe serious
 
Wakili wake nae Lazima vinapita vidole vitatu....si bure
Wakili yupo kazini sawa na Mkunga wa kiume anazalisha ila yeye hazai. Watu wanatakiwa kufahamu kuwa kama wakili akikataa kumwakilisha mteja Mahakamani kwa sababu za kibaguzi anaweza kufutiwa hadi leseni yake.
 
Huyu jamaa kwan kafufuka ama namna gan wakuu?!!
Alijiua huyu papai?!!
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nimekaa mahali,nliposoma hii habar nikajisemea hii kesi wameletewa wanajamiiforum wator hukumu mmh[emoji848]baada ya kuanza kusoma comments sasa sina mbavu[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Zile video inamaanisha kasingiziwa, mm niliona zote mbili na ile ya video call nikatapika balaa. Anakataa nn sasa. Mwizi ukimsikiliza anashinda kesi
Kwa mfano ndio wewe umepandishwa kizimbani na kidhibiti ukasomewa mashtaka kwa mara ya kwanza utakubali au utakana?,nijibu pls
 
Nimekaa mahali,nliposoma hii habar nikajisemea hii kesi wameletewa wanajamiiforum wator hukumu mmh[emoji848]baada ya kuanza kusoma comments sasa sina mbavu[emoji2][emoji2][emoji2]

Hivi na wewe unawaamini madaktari kabisa? Usikute aliweka ngumi kabisa kwa bwana rama akaona aseme ni vidole viwili tu hawaamini hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…